Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Ni Wapumbavu tu ndio Wamezoea KUIBIWA
 
Tunahitaji mafisadi kama Magufuli kwa miaka 30 tu ili nchi yetu iwe kama Ulaya.

Kama huyu jamaa aliiba mabilioni ya pesa na bado akaweza:

-Kununua ndege zaidi ya 9 kwa cash. ( Ni wajinga sana wanunuao ndege kwa cash )
-Kutoa elimu bila malipo kwa miaka takribani 6 (Hata ulaya hawatoi elimu bure)

-Kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati (reli ya kisasa, umeme mkubwa, madaraja makubwa, barabara etc. kwa cash sio kwa mkopo.

-Kijenga vituo vya afya zaidi ya 400 nchi nzima( sio Zahanati jamani, vituo vya afya hata huduma ya operation inapatikana)

-Kulipa watunishi wa serikali kabla ya tarehe za mishahara.

-Kujenga vituo vipya vya mabasi kila mkoa.

Kujenga masoko makubwa kila mkoa.

-Kubwa kuzidi yote...kuingia uchumi wa kati miaka 5 kabla.

Huyu jamaa hatari.
 
Kwa miaka mitano tu.Tunahitaji watu kama hawa.Sio kina Assad wachumia tumbo
 
Huyu msela mtoa mada ni disaster kwa jamii na mbaya zaidi it seems ubongo wa huyu mchizi uko vacation Chato kazikwa nao yule Fisadi..

Alipo hapo hajitambui mnyonge huyu anajaza server za Maxence Melo kwa threads za ki Pumbavu..
 
Mimi ni mtanzania na nina haki ya kutoa mawazo yangu.Nimeridhika na wizi wa Magufuli,kwa kuwa hata kama kaiba,ila nimeona alichofanya,tena kikubwa.Wengine walishibisha matumbo yao,familia zao na kugawa bure mali za Watanzania kwa mabeberu.
Uko sahihi...
 
NAOMBA msimtukane Huyu jamaa mwenye uzi huu ila mpite kimya kimya au kwa sala na kumuombea ajue hivi "KUNA WATOTO WAMESHINDWA KUPATA MKOPO ILI WASOME CHUO KIKUU" ila pesa za matamasha zilikuwepo
Huyu ni wa kumpuuza tu. Akitaka sana aende chato akamfufue mwendazake. Kama hana nauli wazalendo tumchangie akaifanye kazi tukufu ya ufufuaji huko maeneo ya jirani na Burigi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni raha kuwa na Rais fisadi kama Magufuli, ambaye anaiba kwa kuwanufaisha wananchi wake, anaiba anajenga vituo vya afya, anajenga reli, na kufufua reli iliyokufa zaidi ya miaka karibu thelathini, anaiba watoto wanasoma bure, anaiba anajenga barabara na kuweka taa za barabarani karibu miji yote Tanzania, anaiba huku akitulindia madini yetu, anaiba akiongeza mikopo vyuoni, anaiba akiboresha huduma za matibabu sasahivi wote tunatibiwa nchini, hata yeye kafia hospitali za hapa hapa.

Daah! huyu fisadi Magufuli ni kiboko. Siyo wale mafisadi wa EPA, mafisadi wa Richmond, waligawana wao wenyewe fedha na kuita hela ya mboga huku watanzania wengi wakiugulia maumivu. Hata hawakukumbuka kununua hizo ndege za mkopo, ambazo Assad, anadai huyu fisadi Magufuli ati ni kichaa hana akili kwa kununua ndege kwa cash.

Naomba kuuliza hivi ukinunua kwa mkopo ndo wapata faida? Au hutolipa hilo deni? Make najua deni utalilipa tu tena kwa faida. Ok fisadi Magufuli lala salama wewe kweli ni shujaa wa mafisadi unae iba ili kufaidisha Taifa lako. Tunasubiri kuona hawa waliokuwa wasafi wasio mafisadi, wapi wanatupeleka, je wataweza kufanya tuliyoyaona kwa ufisadi wako lakini leo, tunayafurahia. Yetu macho.
 
sema ww ndio unahitaji. MWIZI NI MWIZI TU. HAIJALISHI ANAIBA KANDAMBILI AU BILLION BANK.

hii nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria sio matakwa ya kikundi fulani.
 
bado madini mmereranni kuwekewa ukutaa na tunaapigwaa Tanzania tajiri sana
 
NAOMBA msimtukane Huyu jamaa mwenye uzi huu ila mpite kimya kimya au kwa sala na kumuombea ajue hivi "KUNA WATOTO WAMESHINDWA KUPATA MKOPO ILI WASOME CHUO KIKUU" ila pesa za matamasha zilikuwepo
Kwanini awape waliosoma serikali 100% hafafu wengine hatupe 70 kwani sisi sio watanzania?
 
SUKUMA GANG.. Hamkati tamaa, endeleeni kupambana
Hivi anayewadanganya kwamba ni swala la Usukuma against Msoga ni nani,hili ni swala la evil against good.Kueni wazalendo kidogo.
 
Mkuu you are misinterpreting and misrepresenting this issue.Issue hii sio rahisi kama unavyo jaribu kuonyesha.Hakuna Sukuma gang na wala hakuna Msoga gang.Wewe unachojaribu kufanya nikuleta chuki kati ya familia ya Marehemu Magufuli na Kikwete.This is wrong and utter nonsense,and uncalled for.Hii ni vita ya evil against good,it has nothing to do with Magufuli and Kikwete.Please understand this.
 
Huko kupambana kisirisiri bila kufuata utaratibu ndio kunakoleta mashaka. Kama umeridhia ni wewe binafsi ila mimi kama miongoni mwa mlipa kodi sijaridhia. Hayo mambo yanayoonekana kwa macho yanamsaidia nini mlalahoi anayeishi kijiji cha kiwale huko malinyi ambapo yeye hiyo barabara za juu, barabara nane nane, treni ya mwendokasi na midege isiyoleta faida haimpatii lolote wakati wa pesa kwake umekuwa mgumu halafu anaambiwa achangie ela kwaajili ya miradi ya shule na zahanati akishindwa kufanya hivyo anawekwa ndani.
 

Yani unaongea kama umekurupushwa usingizini, wewe unataka kilakitu kinacho fanywa na serikali kimridhishe kilamtu??.

Watu kamawewe ndio jualikiwaka mnataka mvua, mvuaikinyesha mnatakajua

Kama unaona reli, barabara, na flyover hazisaidii kitu basi check your self.

Unajua tunaokoa kiasigani cha pesa kwakurahisisha usafiri katika majiji makubwa kama Dar es salaam??.
Unajua chanzo kikuu chamapato nikodi inayotokana na wafanya biashara ambao wengi wana connection na jiji la Dr.?

Ukokijijini kwako unakotaka papewekipaumbele mnachangi kiasigani kwenye pato la taifa.
Subiri turahisishe usafiri mijini ambopo ndio chanzo kikubwa cha mapato ambayo yana tumika kujenga zahanati unazoziona uko kijijinikwako pamoja na umeme unaouona kwenye nyumba za tembehukokwenu.
Pia ukiona watoto wenu wanasoma bure ujue pesa inatoka huku serikali inapo wekeza pesa kwa kurahisisha movement kwa walipakodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…