Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Kwa kuwa tunaibiwa na imekuwa ni jambo lililozoeleka, kwa maelezo iako, kwa hiyo hakuna haja ya ukaguzi? Tufunge ofisi ya CAG? Kwa kuwa mmezoea kuibiwa kwa hiyo tuwaachie waendelee kuiba tu na wasikaguliwe wala wasibughuziwe? Maajabu ya kutisha. Hivi bado tuna Watanzania wana mawazo ya ajabu kiasi hiki?
Soma bandiko vizuri halafu uelewe concept.Ukaguzi ni muhimu,ila ufuatiliwe na hatua madhubuti,hapo ndio ukaguzi utakuwa na maana.Ilivyo sasa, it's useless,wastage of time and resources.Baseline:Kwa jinsi mambo yalivyo sasa,where no action is taken anyway,Magufuli is better,because we can see tangible results.
 
So wizi ruksa ilimradi tu ufanye miradi kadhaa yenye kuridhisha!
Aisee itabidi iwekwe kwenye katiba kwamba ukitenda mema basi ruksa kuiba utakavyo!
Hizi akili za wapi?
Soma bandiko vizuri utaelewa theme yake,umedandia.Ukaguzi ni muhimu,ila ufuatiliwe na hatua madhubuti,hapo ndio ukaguzi utakuwa na maana.Ilivyo sasa, it's useless,wastage of time and resources.Baseline:Kwa jinsi mambo yalivyo sasa,where no action is taken anyway,Magufuli is better,because we can see tangible results.
 
Kwa kuwa tunaibiwa na imekuwa ni jambo lililozoeleka, kwa maelezo iako, kwa hiyo hakuna haja ya ukaguzi? Tufunge ofisi ya CAG? Kwa kuwa mmezoea kuibiwa kwa hiyo tuwaachie waendelee kuiba tu na wasikaguliwe wala wasibughuziwe? Maajabu ya kutisha. Hivi bado tuna Watanzania wana mawazo ya ajabu kiasi hiki?
Soma bandiko vizuri halafu uelewe concept.Ukaguzi ni muhimu,ila ufuatiliwe na hatua madhubuti,hapo ndio ukaguzi utakuwa na maana.Ilivyo sasa, it's useless,wastage of time and resources.Baseline:Kwa jinsi mambo yalivyo sasa,where no action is taken anyway,Magufuli is better,because we can see tangible results.
 
Mi mkongo man but for those who hate Mr Magufuli daah nimeona watanzania wajinga sana hata wangeletewa chakula mchana na usiku bado wangelalamika chakula kidogo
Mkuu Watanzania walio wengi wanaangalia leo kala nini,kwa hiyo hawaoni zaidi ya urefu wa pua zao;hawajui mahitaji yao;hawajitambui and are egocentric.Hayo ndio matatizo makubwa.Ukimuambia mtanzania ajinyime kwa ajili ya a good outcome of the next only 20 years,hakuelewi.Inasikitisha sana.Ni watu wa leo leo,wakati people plan for even 1000yrs.
 
Mimi ni mtanzania na nina haki ya kutoa mawazo yangu.Nimeridhika na wizi wa Magufuli,kwa kuwa hata kama kaiba,ila nimeona alichofanya,tena kikubwa.Wengine walishibisha matumbo yao,familia zao na kugawa bure mali za Watanzania kwa mabeberu.
Nakuunga mkono.
 
Mtu mzima ku copy taarifa ya kipuuzi kuja kuanzisha uzi ni ushamba, sema umezoea wewe usisemeee wengine, nani azoee ujinga
 
Yani unaongea kama umekurupushwa usingizini, wewe unataka kilakitu kinacho fanywa na serikali kimridhishe kilamtu??.

Watu kamawewe ndio jualikiwaka mnataka mvua, mvuaikinyesha mnatakajua

Kama unaona reli, barabara, na flyover hazisaidii kitu basi check your self.

Unajua tunaokoa kiasigani cha pesa kwakurahisisha usafiri katika majiji makubwa kama Dar es salaam??.
Unajua chanzo kikuu chamapato nikodi inayotokana na wafanya biashara ambao wengi wana connection na jiji la Dr.?

Ukokijijini kwako unakotaka papewekipaumbele mnachangi kiasigani kwenye pato la taifa.
Subiri turahisishe usafiri mijini ambopo ndio chanzo kikubwa cha mapato ambayo yana tumika kujenga zahanati unazoziona uko kijijinikwako pamoja na umeme unaouona kwenye nyumba za tembehukokwenu.
Pia ukiona watoto wenu wanasoma bure ujue pesa inatoka huku serikali inapo wekeza pesa kwa kurahisisha movement kwa walipakodi.
Nakusaidia tena kuelewa maana uelewa wako umekuwa mdogo.
Hiyo miradi yote imetumia kodi za wananchi, mimi na wewe na wengineo. Miundo mbinu kama hiyo uliyotaja inapojengwa na hali za wananchi zisiwe katika hali duni au wasiishie kupata tabu ya kimaisha kwavile tu unafosi kujenga miundo mbinu.
Sekta binafsi zinakumbwa na ongezeko la kodi na huku maslahi ya waajiriwa wa serikalini wameshindwa kuongezewa mishahara na madaraja kisa tu unalenga kuijenga kwa upande wa miundo mbinu.

Pili lazima kuwe na uwazi kwenye miradi, mbona tuliona kipindi cha awamu zilizopita kulikuwa na ushirikishwaji wa bunge katika mambo mbali mbali ya kimiradi ya maendeleo. Lakini awamu ya Magufuli, maamuzi ni ya kwake mwenyewe, gharama za miradi ni yeye mwenyewe anasaini.

Kuhusu vijijini labda nikwambie tu ya kwamba mazao yote unayoyajua wewe yanalimwa vijijini. Kwahiyo vijijini ndiko kunakolisha nchi na pia ndiko kunakoingizia pato la nchi kwa biashara ya mazao.
 
Aisee tutafute pesa tupeleke watoto wetu wakasome kwenye shule nzuri wasiwe na uwezo finyu wa kufikiri kama mleta mada.
 
Soma bandiko vizuri halafu uelewe concept.Ukaguzi ni muhimu,ila ufuatiliwe na hatua madhubuti,hapo ndio ukaguzi utakuwa na maana.Ilivyo sasa, it's useless,wastage of time and resources.Baseline:Kwa jinsi mambo yalivyo sasa,where no action is taken anyway,Magufuli is better,because we can see tangible results.
CAG kafanya kazi yake, tusubiri Bunge na vyombo vingine wafanye sehemu yao nao tuwasikie watasema nini kujibu hoja za CAG. Mbona ameanza kuhukumiwa mapema kabla hoja zake hazijajibiwa? Na ikionekana mwisho wa siku kuwa hoja zake zina mashiko utatuambia nini? Vuta subira.
 
Mmebaki na maneno ya hovyohovyo tu kamahivi.
Naona unatamani kujinyonga ukisikia miradi kama stigle PM akisema lazima ikamilike kwa wakati, na ndio maana ya zege hailali kama hamjui.
Fanyeni kazi mtakufa njaa nchi inaendelea kwa kupiga kazi sio majungumjungu na wivu wa kipuuzi shawishi jiranizako walipekodi kwa wakati tujengenchi.
Poor you! Hamna hata utu nyie wafuasi wa Ibilisi Jiwe na Jiwe mwenyewe alikosa utu wakati anaishi kwa betri tu. Ona sasa wenzake wamechomoa waya wa hiyo betri. Ukiwa na udhaifu wa kifafa pendana na wenzako watakuokota ukianguka
 
Wako wengi,sina haja ya kuwataja.Ila la msingi ni kujitambua ili in evey area of business tuwe na a win win situation.Na hii itatulazimu kubadili sheria zetu.
Unaogopa nini kutaja kama yupo huyo beberu?
 
CAG kafanya kazi yake, tusubiri Bunge na vyombo vingine wafanye sehemu yao nao tuwasikie watasema nini kujibu hoja za CAG. Mbona ameanza kuhukumiwa mapema kabla hoja zake hazijajibiwa? Na ikionekana mwisho wa siku kuwa hoja zake zina mashiko utatuambia nini? Vuta subira.
Tuvute subira miaka yote,no people must be serious,hakuna seriousness.
 
Nimekuwa nikipitia tweet insta n.k nimestushwa sana na kebehi za JPM. Prof Muhongo amejidhalilisha....nashukuru Waziri mkuu amemjibu vizuri.

Hivi tumesahau JPM alikuta chungu cha serikali hakina kitu mishahara ililipwa kupitia mikopo ya commercial benk, umeme ulikuwa mgao kila siku ili watu wauze majenereta yao. Meli ya bukoba ilikufa. Nchi ilikuwa chocho la madawa ya malevya....jpm kakomesha.

Na mengine mengi CAG anasema stand ya mbezi italeta foleni is it true wakati kuna vivuko vinajengwa, round abt inamalizwa....harafu watu anasahau auditor huwa hakosi cha kuandika. Lakini me naona miradi inavyoendaaa.

Watz tupunguze chuki najua mzee alimubana kila mtu lakini kwa tija ya nchi.
 
Back
Top Bottom