Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh hii nchi imechezewa sana,oooooh tumeimbiwa sana kumbe lenyewe jiziiiiiiii !!!! Tuuu likawaaaminisha lenyewe ni malaika mkalikubalia liita mungu ! Mungu original akachukuaWatakuja kukupinga tu
Kaiba wapi ww huo uzushi tu wa CAG na waliomtuma!?Oooh hii nchi imechezewa sana,oooooh tumeimbiwa sana kumbe lenyewe jiziiiiiiii !!!! Tuuu likawaaaminisha lenyewe ni malaika mkalikubalia liita mungu ! Mungu original akachukua
Alikashifu mtangulizi wake kwamba nchi ilichezewa yeye akaliona ni mungu mkamwamini mkamwita Mungu kumbe hata yeye akaichezea nchi sasa vibaka wana haha kumsugua kwa still waya ang'ae but it is tooooo late !!! Tumeona kila kituuuuuuMWAMBIENI CAG, SISI TUMERIDHIKA
1. Mwambieni CAG kwamba sisi wenyewe tumeridhika, tumezoea kuibiwa. Mwambieni tofauti ya wizi wa zamani na huu ni kwamba wizi wa sasa unafaida kwa Wananchi wala asiumize kichwa. Mwambieni sisi Wananchi hatuna tatizo na hasara au wizi uliofanyika wakati wa JPM. Sisi tumeridhika hivyohivyo kwa sababu tuna macho ya kuona!!
2. Mwambieni CAG kwamba tuliibiwa hapa kupitia EPA. Pesa bilioni 135 zikaliwa na watu wachache, wakati huo elimu bure ilikua bado kuja. Mikopo ya elimu ya juu ilikua ni songombingo kwa hiyo hatuoni hatari kuibiwa sasa huku elimu bure ikiwa imeanzishwa na mikopo ikitoka kwa wakati. Sisi tumeridhika kabisa na hasara au wizi wakati wa JPM!!
3. Mwambieni CAG kwamba tuliibiwa hapa bilioni 300 Serikali ikilipa Makampuni hewa katika kashfa ya MEREMETA. Mwambieni hapakua na tatizo lolote na wakati huo bajeti ya Dawa ilikua chini ya bilioni 30 lakini sasa na wizi wa JPM umepandisha bajeti ya DAWA zaidi ya mara tisa; yaani bilioni 270. Mwambieni kwa wizi huu Mungu atupe nini? Tumeridhika sana na wizi wakati wa JPM.
4. Mwambieni CAG kwamba tulishaibiwa sisi kwenye mauzauza ya uwekezaji wa Bulyanhulu na Buzwagi na hata leo hakuna maelezo ya yanayoeleweka. Kodi hazikulipwa na pesa zikapigwa na wajanja wachache. Wakati huo wote madini na migodi YOTE ilikua ni Mali ya Wawekezaji wasiolipa kodi, Wananchi ilikua ni marufuku kukaribia migodi katika nchi yao. Kama JPM ameiba halafu wananchi wanachimba madini wenyewe kwa uhuru, ninaumia kwamba atakua ameiba kidogo sana. Wizi wenye manufaa kwa umma una maana zaidi kuliko wizi usio na manufaa. Sisi tumezoea kuibiwa, lakini kwa huu wa JPM tumeridhika.
5. Mwambieni CAG kwamba sisi tumezoea kuibiwa. Tumeshaibiwa haswa, ilikuja hapa tukaibiwa katika Mkataba wa kijinga wa DOWANS. Nchi ikalipa Bilioni 111 kwa sababu ya maslahi ya watu wachache. Wakati tunaibiwa kupitia DOWANS, Mv. Victoria ilikua inalaza watu siku mbili ziwani kwa ubovu wake. Maisha yao yalikua hatarini kila safari, leo wakati wa JPM wakiiba au akitutia hasara ya bilioni 60 huku Mv. Victoria ikiwa MPYA kuna tatizo gani? Meli mpya tele kuanzia ziwa Nyasa, Tanganyika na Bahari ya Hindi Kilwa. Tunapenda wizi wa namna hii, angeiba kabisa za kutosha akajenga nyumba nzuri kama wenzake, akamiliki magari ya mizigo meupe lukuki na sheli za kumwaga. Au akamiliki supermakert za Da'slam kama wenzake. Sisi kuibiwa tumezoea, wizi wakati wa JPM una manufaa, tumeridhika.
6. Mwambieni CAG kuwa sisi tumezoea kuibiwa asijiumize bure na ma-press ya kutangaza vi-wizi vya kitoto hivyo. Tulipigwa hapa pesa TAKATIFU katika Mkataba maarufu wa RICHMOND ulioondoka na Serikali ya mwaka 2008 hadi sasa hakuna kilichofanyika. Wakati tukipigwa pesa za Richmond daraja la Mfugale lilikua halipo, Daraja la Ubungo (Kijazi Interchange) haikuwahi kufikiriwa, Daraja la Tanzanite (Salender) lilikua katika ndoto, lile la Busisi halikufikiriwa kabisa. Kama tumeibiwa leo na mambo yote haya yamefanyika mwambieni CAG sisi roho kwatu, tumeridhika riport zake tupa kule hatusikii la mwazini wala mnadi swala. Tumefunga masikio!!
7. Mwambieni CAG sio hata siku nyingi zilichotwa BOT bilioni 306 kwa kilichoitwa kashfa ya TEGETA ESCROW. Nchi ikaibiwa tena na wajanja wachache, wakabeba pesa kwenye masandarusi na rumbesa. Wakati tukiibiana bilioni 306 za Escrow umeme vijijini ulikua unaunganishwa kwa Tsh. 454,000 ila kwa wizi wakati wa JPM umeme vijijini unaunganishwa kwa Tsh. 27,000; asilimia zaidi ya 70% umeme umefika vijijini. Wizi mzuri kiasi gani huu!? Sasa tunajenga megawati 2400 kutoka Bwawa la Nyerere ili umeme ushuke zaidi. Ingalikua uwezo ni wangu ningalimrudisha mtu huyu aendelee kuiba na kutia hasara zaidi kwa sababu wizi na hasara zake zina manufaa kwa watu. Mwambieni CAG sisi tumeridhika hivyohivyo, atuwache!!
8. Mwambieni CAG sisi tumewahi kuibiwa Twiga mzima akabebwa na shingo yake akaondoka zake. Hii nchi tunaibiana na Wanyama yeye anahangaika na vipesa vidogo vidogo vya matengenezo ya ATCL. Mwambieni wakati tukiibiana TWIGA upatikanaji wa maji Vijijini ulikua ni asilimia 47% na sasa kwa wizi na hasara wakati wa JPM upatikanaji wa Maji vijijini umefikia asilimia 70.1% huku mijini upatikanaji ukitoka asilimia 74% hadi 84%. Ni mtu mjinga pekee anaweza kuchukizwa na wizi wakati wa JPM, mwambieni CAG sisi tumeridhika tunatamani angekuwepo aibe tena. Hatutakagi ujinga!!
9. Mwambieni CAG kuwa tumeibiwa sana nchi hii. Wakati wote tuliibiwa huku Nchi ikiwa haina Ndege hai HATA MOJA. Mwambieni leo tuna Ndege 11 za kwetu wenyewe. Hizo hasara za ATCL zisimuumize kichwa, hakuna biashara isiyo na hasara, JPM keshawawekea mtaji na heshima ni wajibu wao kutafuta akili za kupata faida sio KUUA MTAJI. Mwambieni CAG, sisi tunampenda mwizi anayeiba halafu akanunua Ndege kwa ajili ya Nchi nzima, akajenga Reli ya kasi, Stendi kibao za kisasa, Masoko kwa ajili ya biashara nk. Kwakweli sisi tumeridhika sana na wizi huu!! Mungu amlaze mahala pema JPM, ametutoa tongotongo!!
10. Mwambieni CAG asipoteze nguvu zake bure kwa sababu hata hao wezi huwa hawafanywi kitu. Mwambieni tumezoea na zaidi tumeridhika na wizi au hasara wakati wa JPM. Mwambieni CAG nchi hii imeongozwa na wezi wengi lakini huyu alikua ni mwizi wa heshima. Tunampenda, tutammiss hivyohivyo na yeyote mwenye kumchafua atachafuka kwanza yeye. Tutakua Taifa la kijinga sana kuacha ALAMA za mtu huyu zifutwe na watu Wajinga, Wavivu wasio na lolote walioachiwa Nchi wasiongoze wakihangaika na umbea, udaku na ushambenga.
Kwa taarifa yenu #SISI TUMERIDHIKA HATA ANGEIBA NCHI YOTE AIUZE!! Tuna macho ya kuona.
TutakukumbukaDaima JPM
MenukaJr,
Da'slam-Tanzania.
Hasafishiki ng'ooo kunya jamba harisha kohoa ingiliwa kama kawaida yenu Ila ukweli tumeupata ni mwiziiiiiioiImfikie CAG na waliomtuma
REA ilianza wakati wa jk na tunakatwa kila tukinunua umeme!!! Mwizi ni mwizi hasafishikiNikumbushe namba 7,Mradi wa umeme vijijini yaani REA ulianza wakati wa JK,na Bei ilikuwa ni Tsh 27,000 sio zaidi ya hapo.
Hata wakati wa jk ulutokea wz halafu maendeleo na ajira za kumwaga salaries iliongezeka lakini sasa wizi na hakuna ajira wala ongezeko ??? Kunya jamba lia kohoa jamaa bora kaenda ni furaha tuuuuuuuKama watu wakifanya wizi mkubwa ndio flyover, Reli, mabwawa , madaraja, hospitali, ndege na mabarabara yanapatikana, naomba serikali iongeze kasi ya kuiba pesa, waibeee tena waibe zaidi...!!!
OyeeeMATAGA oyeeee
Jk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika😂!Alikashifu mtangulizi wake kwamba nchi ilichezewa yeye akaliona ni mungu mkamwamini mkamwita Mungu kumbe hata yeye akaichezea nchi sasa vibaka wana haha kumsugua kwa still waya ang'ae but it is tooooo late !!! Tumeona kila kituuuuuu
Hasa katika kupora pesa na kukurupukaJk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika[emoji23]!
MWAMBIENI CAG, SISI TUMERIDHIKA
1. Mwambieni CAG kwamba sisi wenyewe tumeridhika, tumezoea kuibiwa. Mwambieni tofauti ya wizi wa zamani na huu ni kwamba wizi wa sasa unafaida kwa Wananchi wala asiumize kichwa. Mwambieni sisi Wananchi hatuna tatizo na hasara au wizi uliofanyika wakati wa JPM. Sisi tumeridhika hivyohivyo kwa sababu tuna macho ya kuona!!
2. Mwambieni CAG kwamba tuliibiwa hapa kupitia EPA. Pesa bilioni 135 zikaliwa na watu wachache, wakati huo elimu bure ilikua bado kuja. Mikopo ya elimu ya juu ilikua ni songombingo kwa hiyo hatuoni hatari kuibiwa sasa huku elimu bure ikiwa imeanzishwa na mikopo ikitoka kwa wakati. Sisi tumeridhika kabisa na hasara au wizi wakati wa JPM!!
3. Mwambieni CAG kwamba tuliibiwa hapa bilioni 300 Serikali ikilipa Makampuni hewa katika kashfa ya MEREMETA. Mwambieni hapakua na tatizo lolote na wakati huo bajeti ya Dawa ilikua chini ya bilioni 30 lakini sasa na wizi wa JPM umepandisha bajeti ya DAWA zaidi ya mara tisa; yaani bilioni 270. Mwambieni kwa wizi huu Mungu atupe nini? Tumeridhika sana na wizi wakati wa JPM.
4. Mwambieni CAG kwamba tulishaibiwa sisi kwenye mauzauza ya uwekezaji wa Bulyanhulu na Buzwagi na hata leo hakuna maelezo ya yanayoeleweka. Kodi hazikulipwa na pesa zikapigwa na wajanja wachache. Wakati huo wote madini na migodi YOTE ilikua ni Mali ya Wawekezaji wasiolipa kodi, Wananchi ilikua ni marufuku kukaribia migodi katika nchi yao. Kama JPM ameiba halafu wananchi wanachimba madini wenyewe kwa uhuru, ninaumia kwamba atakua ameiba kidogo sana. Wizi wenye manufaa kwa umma una maana zaidi kuliko wizi usio na manufaa. Sisi tumezoea kuibiwa, lakini kwa huu wa JPM tumeridhika.
5. Mwambieni CAG kwamba sisi tumezoea kuibiwa. Tumeshaibiwa haswa, ilikuja hapa tukaibiwa katika Mkataba wa kijinga wa DOWANS. Nchi ikalipa Bilioni 111 kwa sababu ya maslahi ya watu wachache. Wakati tunaibiwa kupitia DOWANS, Mv. Victoria ilikua inalaza watu siku mbili ziwani kwa ubovu wake. Maisha yao yalikua hatarini kila safari, leo wakati wa JPM wakiiba au akitutia hasara ya bilioni 60 huku Mv. Victoria ikiwa MPYA kuna tatizo gani? Meli mpya tele kuanzia ziwa Nyasa, Tanganyika na Bahari ya Hindi Kilwa. Tunapenda wizi wa namna hii, angeiba kabisa za kutosha akajenga nyumba nzuri kama wenzake, akamiliki magari ya mizigo meupe lukuki na sheli za kumwaga. Au akamiliki supermakert za Da'slam kama wenzake. Sisi kuibiwa tumezoea, wizi wakati wa JPM una manufaa, tumeridhika.
6. Mwambieni CAG kuwa sisi tumezoea kuibiwa asijiumize bure na ma-press ya kutangaza vi-wizi vya kitoto hivyo. Tulipigwa hapa pesa TAKATIFU katika Mkataba maarufu wa RICHMOND ulioondoka na Serikali ya mwaka 2008 hadi sasa hakuna kilichofanyika. Wakati tukipigwa pesa za Richmond daraja la Mfugale lilikua halipo, Daraja la Ubungo (Kijazi Interchange) haikuwahi kufikiriwa, Daraja la Tanzanite (Salender) lilikua katika ndoto, lile la Busisi halikufikiriwa kabisa. Kama tumeibiwa leo na mambo yote haya yamefanyika mwambieni CAG sisi roho kwatu, tumeridhika riport zake tupa kule hatusikii la mwazini wala mnadi swala. Tumefunga masikio!!
7. Mwambieni CAG sio hata siku nyingi zilichotwa BOT bilioni 306 kwa kilichoitwa kashfa ya TEGETA ESCROW. Nchi ikaibiwa tena na wajanja wachache, wakabeba pesa kwenye masandarusi na rumbesa. Wakati tukiibiana bilioni 306 za Escrow umeme vijijini ulikua unaunganishwa kwa Tsh. 454,000 ila kwa wizi wakati wa JPM umeme vijijini unaunganishwa kwa Tsh. 27,000; asilimia zaidi ya 70% umeme umefika vijijini. Wizi mzuri kiasi gani huu!? Sasa tunajenga megawati 2400 kutoka Bwawa la Nyerere ili umeme ushuke zaidi. Ingalikua uwezo ni wangu ningalimrudisha mtu huyu aendelee kuiba na kutia hasara zaidi kwa sababu wizi na hasara zake zina manufaa kwa watu. Mwambieni CAG sisi tumeridhika hivyohivyo, atuwache!!
8. Mwambieni CAG sisi tumewahi kuibiwa Twiga mzima akabebwa na shingo yake akaondoka zake. Hii nchi tunaibiana na Wanyama yeye anahangaika na vipesa vidogo vidogo vya matengenezo ya ATCL. Mwambieni wakati tukiibiana TWIGA upatikanaji wa maji Vijijini ulikua ni asilimia 47% na sasa kwa wizi na hasara wakati wa JPM upatikanaji wa Maji vijijini umefikia asilimia 70.1% huku mijini upatikanaji ukitoka asilimia 74% hadi 84%. Ni mtu mjinga pekee anaweza kuchukizwa na wizi wakati wa JPM, mwambieni CAG sisi tumeridhika tunatamani angekuwepo aibe tena. Hatutakagi ujinga!!
9. Mwambieni CAG kuwa tumeibiwa sana nchi hii. Wakati wote tuliibiwa huku Nchi ikiwa haina Ndege hai HATA MOJA. Mwambieni leo tuna Ndege 11 za kwetu wenyewe. Hizo hasara za ATCL zisimuumize kichwa, hakuna biashara isiyo na hasara, JPM keshawawekea mtaji na heshima ni wajibu wao kutafuta akili za kupata faida sio KUUA MTAJI. Mwambieni CAG, sisi tunampenda mwizi anayeiba halafu akanunua Ndege kwa ajili ya Nchi nzima, akajenga Reli ya kasi, Stendi kibao za kisasa, Masoko kwa ajili ya biashara nk. Kwakweli sisi tumeridhika sana na wizi huu!! Mungu amlaze mahala pema JPM, ametutoa tongotongo!!
10. Mwambieni CAG asipoteze nguvu zake bure kwa sababu hata hao wezi huwa hawafanywi kitu. Mwambieni tumezoea na zaidi tumeridhika na wizi au hasara wakati wa JPM. Mwambieni CAG nchi hii imeongozwa na wezi wengi lakini huyu alikua ni mwizi wa heshima. Tunampenda, tutammiss hivyohivyo na yeyote mwenye kumchafua atachafuka kwanza yeye. Tutakua Taifa la kijinga sana kuacha ALAMA za mtu huyu zifutwe na watu Wajinga, Wavivu wasio na lolote walioachiwa Nchi wasiongoze wakihangaika na umbea, udaku na ushambenga.
Kwa taarifa yenu #SISI TUMERIDHIKA HATA ANGEIBA NCHI YOTE AIUZE!! Tuna macho ya kuona.
TutakukumbukaDaima JPM
MenukaJr,
Da'slam-Tanzania.
Jk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika😂!
Ukweli gani sasa zaidi ya huu😂! Magufuli hakuiba pamoja na uzushi wenu!Ww ndio umeiona leo na kuileta, wenzake walipoteza wiki nzima wakiipaste kila uzi, lakini hawakuweza kubadili ukweli.
Ukweli gani sasa zaidi ya huu😂! Magufuli hakuiba pamoja na uzushi wenu!
Na anakula bata kwa Muumba!
Tz salama, umetuacha salama🙏!
Rest in eternal peace and power 💪 our great African hero 🙏😭!
Marehemu hasemwiOooh hii nchi imechezewa sana,oooooh tumeimbiwa sana kumbe lenyewe jiziiiiiiii !!!! Tuuu likawaaaminisha lenyewe ni malaika mkalikubalia liita mungu ! Mungu original akachukua
Ili kuwe na uwanja wa ndege kunahitaji kuwe na wastani wa watu wangapi ?Shida ni hivi population ya Chato inakidhi resources walizopelekewa? Kwasababu Rais anatoka huko hata kama kuna watu 20,000 ndiyo wajengewe uwanja wa ndege?