Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Meko akwende! Hakufaa kutuongoza hata kwa mwezi mmoja
 
Oooh hii nchi imechezewa sana,oooooh tumeimbiwa sana kumbe lenyewe jiziiiiiiii !!!! Tuuu likawaaaminisha lenyewe ni malaika mkalikubalia liita mungu ! Mungu original akachukua
Kaiba wapi ww huo uzushi tu wa CAG na waliomtuma!?
 
Alikashifu mtangulizi wake kwamba nchi ilichezewa yeye akaliona ni mungu mkamwamini mkamwita Mungu kumbe hata yeye akaichezea nchi sasa vibaka wana haha kumsugua kwa still waya ang'ae but it is tooooo late !!! Tumeona kila kituuuuuu
 
Nikumbushe namba 7,Mradi wa umeme vijijini yaani REA ulianza wakati wa JK,na Bei ilikuwa ni Tsh 27,000 sio zaidi ya hapo.
REA ilianza wakati wa jk na tunakatwa kila tukinunua umeme!!! Mwizi ni mwizi hasafishiki
 
Kama watu wakifanya wizi mkubwa ndio flyover, Reli, mabwawa , madaraja, hospitali, ndege na mabarabara yanapatikana, naomba serikali iongeze kasi ya kuiba pesa, waibeee tena waibe zaidi...!!!
Hata wakati wa jk ulutokea wz halafu maendeleo na ajira za kumwaga salaries iliongezeka lakini sasa wizi na hakuna ajira wala ongezeko ??? Kunya jamba lia kohoa jamaa bora kaenda ni furaha tuuuuuuu
 
Alikashifu mtangulizi wake kwamba nchi ilichezewa yeye akaliona ni mungu mkamwamini mkamwita Mungu kumbe hata yeye akaichezea nchi sasa vibaka wana haha kumsugua kwa still waya ang'ae but it is tooooo late !!! Tumeona kila kituuuuuu
Jk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika๐Ÿ˜‚!
 
Jk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika[emoji23]!
Hasa katika kupora pesa na kukurupuka
 

Ww ndio umeiona leo na kuileta, wenzake walipoteza wiki nzima wakiipaste kila uzi, lakini hawakuweza kubadili ukweli.
 
Jk angeondoshwa ghafla bila kuyafichaficha madudu yake sijui ingekuwaje! Magufuli alikuwa vizuri sana pamoja na report yenu ya magumashi mlioipika๐Ÿ˜‚!

Unachafua jizi la kura kwani ni lisafi?
 
Ww ndio umeiona leo na kuileta, wenzake walipoteza wiki nzima wakiipaste kila uzi, lakini hawakuweza kubadili ukweli.
Ukweli gani sasa zaidi ya huu๐Ÿ˜‚! Magufuli hakuiba pamoja na uzushi wenu!
Na anakula bata kwa Muumba!
 
Ukweli gani sasa zaidi ya huu๐Ÿ˜‚! Magufuli hakuiba pamoja na uzushi wenu!
Na anakula bata kwa Muumba!

Hakuna jizi linaloacha kwenda motoni.
 
Naona unateseka sana. Huyo CAG ndiyo yule aliyeteuliwa na Magu.
CCM ni ile ile au umesahau mwendazake naye alikuwa CCM?
Unajifanya unaijua CCM kuliko walioko madarakani?
Nchi hii ingekuwa matajiri sana ila wapinzani CHADEMA wanatukwamisha
Tz salama, umetuacha salama๐Ÿ™!
Rest in eternal peace and power ๐Ÿ’ช our great African hero ๐Ÿ™๐Ÿ˜ญ!
 
Oooh hii nchi imechezewa sana,oooooh tumeimbiwa sana kumbe lenyewe jiziiiiiiii !!!! Tuuu likawaaaminisha lenyewe ni malaika mkalikubalia liita mungu ! Mungu original akachukua
Marehemu hasemwi
 
Shida ni hivi population ya Chato inakidhi resources walizopelekewa? Kwasababu Rais anatoka huko hata kama kuna watu 20,000 ndiyo wajengewe uwanja wa ndege?
Ili kuwe na uwanja wa ndege kunahitaji kuwe na wastani wa watu wangapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ