Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Maza Fanta Mwamposa..
 
Humu ndani huwa ni kisema huyu jamaa ni muhuni Kuna matahira huwa wanasema Nina mapepo..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio nani?
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer huku akiwa ndiyo Mshindi wa Shindano la kumtafuta Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka 2022 na mwenye uhakika wa kuendelea Kuchukua Tuzo hii hata kwa miaka mingi ijayo kama tu atapendekezwa na Wanachama ( Members ) hapa.
 
Charismatic Fella ana undugu na Rocka Fella au?
 
Msamaha wa kodi kwa hizi taasis za dini bado upo au ulishafutwa?
 
Hapana bali ana Undugu tu na Geniuses Wenzake just Elected Israel Premier Benjamin BIBI Netanyahu na Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Ana undugu na Nentanyau na Paul Kagame wameshea mama au wameshea baba?
 
Wizi wa sadaka unalipa. Utapeli wa kuuza neno la Mungu pia unalipa. Ila ni laana. Yatakayomkuta siku moja kuna watakaokumbuka unabii huu
 
Amejenga hotel kwa mtaji upi?
 
Napongeza bidii zake katika kutafuta vyanzo vya ajira maana ataajiri vijana wengi aendelee kufanikiwa zaidi inshallah πŸ™πŸ™πŸ™
 
Napongeza bidii zake katika kutafuta vyanzo vya ajira maana ataajiri vijana wengi aendelee kufanikiwa zaidi inshallah πŸ™πŸ™πŸ™
Hovyoooooooo....!!!!!!!!!
 
Wajinga ndiyo waliwao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…