Mwamposa, Lusekelo na Mitume wengine: Tenda ya kuyaondoa mapepo yanayorusha mawe Arusha!

Mwamposa, Lusekelo na Mitume wengine: Tenda ya kuyaondoa mapepo yanayorusha mawe Arusha!

Hapo Arusha si yuko Nabii Mkuu Baba, Mheshimiwa, Nabii, Dokta Joe Darvie? Huku Dar hatuazimi Manabii coz wako bzy na hawaitaji kujaribiwa hata kidogo!
Huyo GeorDavie ni mapozi tu, ngope aje Mwamposa na mafuta na maji!
 
Kuna
Mapepo kijiji fulani huko Arusha yamechachamaa.
Yameanza kurusha mawe kama vijana wa kipalestina dhidi ya Waisraeli.

Kwa vile mapepo hayo hayaonekani, wananchi wameamua kuvaa ndoo kichwani ili kujihami na hayo maw.

Hapa ndo tuwaone kina Mwamposa, Lusekelo na Manabii wengine.
Tenda hiyo kuyaondoa mapepo!

Kuna nabii alienda hapo alipigwa mawe yeye na gari lake ikabidi akimbie.
 
Manabii wa mchongo wako kimya wanaendelea kutuuzia keki, maji, na mafuta ya upako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mapepo kijiji fulani huko Arusha yamechachamaa.
Yameanza kurusha mawe kama vijana wa kipalestina dhidi ya Waisraeli.

Kwa vile mapepo hayo hayaonekani, wananchi wameamua kuvaa ndoo kichwani ili kujihami na hayo maw.

Hapa ndo tuwaone kina Mwamposa, Lusekelo na Manabii wengine.
Tenda hiyo kuyaondoa mapepo!
Ni dalili za mlipuko wa volcano sehemu, au kuna eneo miamba inatanuka na kusinyaa.

Waandishi wa kibongo hawatafuti starting point bali wanawafuata wahanga
 
Back
Top Bottom