Mwamposa, Lusekelo na Mitume wengine: Tenda ya kuyaondoa mapepo yanayorusha mawe Arusha!

Hapo Arusha si yuko Nabii Mkuu Baba, Mheshimiwa, Nabii, Dokta Joe Darvie? Huku Dar hatuazimi Manabii coz wako bzy na hawaitaji kujaribiwa hata kidogo!
Huyo GeorDavie ni mapozi tu, ngope aje Mwamposa na mafuta na maji!
 
Kuna
Kuna nabii alienda hapo alipigwa mawe yeye na gari lake ikabidi akimbie.
 
Manabii wa mchongo wako kimya wanaendelea kutuuzia keki, maji, na mafuta ya upako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni dalili za mlipuko wa volcano sehemu, au kuna eneo miamba inatanuka na kusinyaa.

Waandishi wa kibongo hawatafuti starting point bali wanawafuata wahanga
 
Mizimu yao wanayoiabudu kila mwezi wa 12 ndio inawapiga mawe...

Ifike mahali tuache kumchanganya MUNGU na miungu.

Tukumbuke MUNGU wetu ni mwenye wivu
mungu wenu sio lazima awe Mungu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…