Mbona ameshawahi kwenda nabii no 7 kutoka Arusha mjini, akaomba na kukemea kwa jina la Yesu, kilichotokea ni gari yake ikakung'utwa jiwe kwanza na baadaye mawe yaliendelea kurushwa licha ya ukemeaji kwa jina la Yesu, hali ilipozidi kuendelea ikabidi ahaidi kwamba baada ya siku 21 hali hiyo itakoma.🤣🤣, hadi anaondoka katika eneo hilo mawe yaliendelea kurushwa tu.