Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu ndiyo anamtumaNi Askofu mpumbavu kuliko wapumbavu wote. Tapeli mkubwa.
Ningekuwa rais ningefutilia mbali hizi dini.
Swain kabisa huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndiyo anamtumaNi Askofu mpumbavu kuliko wapumbavu wote. Tapeli mkubwa.
Ningekuwa rais ningefutilia mbali hizi dini.
Swain kabisa huyu.
Ni mshirikina vibaya sn ukikanyaga kwenye hilo kanisa lake la kitapeli huchomoki akili zinakuwa siyo zako tena.ati na yeye ana watu wake, hao aliowakusanya wamletee pesa ajenge hoteli. kweli watu wanaaangamia kwa kukosa maarifa.
Huyu ni tapeli kupita kiasiMimi namsubiri siku moja aende hospitali ya Mubimbili na kuwafanyia wagonjwa miujiza na kupona. Ila siyo hao wa mchongo wanaoenda kujitangaza ili kuvutia wajinga wengine.
Hapa huwezi sikia ccm wakisema Dini isichanganywe na siasa. Lakini wakikemewa kupitia waraka Sasa ndio shughuli yake unaiona.Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi
Nchi imejaa manabii fake. Wanalikufuru jina la Bwana kwa kulitumia jina lake kuwatapeli wajinga waliokosa maarifa.
Huu ni utimilifu wa lile neno lisemalo, "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa."
Mtu anauziwa mchanga, anauziwa maji, na bado anaamini anayemuuzia ni mtumishi wa Bwana!!
Niambieni ni wapi imeandikwa, Kristo aliwaponya wagonjwa, aliwaponya vilema na kuwafufua wafu kwa malipo ya fedha.
Kuwa mkristo ni kukubali kufuata yale aliyoyatenda Kristo. Kristo alijifanya mtu, akaubeba mwili wa kibinadamu ili atuoneshe namna mwanadamu astahilivyo kutenda.
Walimuonea bure kiboko ya wachawi ilhali matapeli wamejaa kila kona. Inauma sana.
Tanzania ni nchi ambayo mtu unaweza kuja mikono mitupu ukaondoka na mamilioni ya hela. Haiingii akilini kuona yule tapeli amewaibia pesa wananchi kwa miaka chungu nzima wakati serikali inayopaswa kuwalinda dhidi ya matapeli ipo kimya. Inauma sana.Huyo jamaa Kiboko ya wachawi ukimtaja hua naona sura yake alivyokua anawakejeli watanzania kule Kongo. Kwa kweli CCM imetuweza.
Nabaki kucheka tu jinsi wanavyotuona Nyani.
Basi kumbe hana tofauti na kiboko ya wachawi aliyefurushwa nchini. Ni kwanini yeye bado anaruhusiwa kuendelea kuwatapeli wananchi? Hii jeuri anaipata kutoka kwenye mamlaka ya nchi au anaipata wapi?Sio Mazembe huyo ni Mzambia alielowea Mbeya akauzauza mafuta sheli kidogo pale mpakani
Fungua na wewe kanisa lako utakuwa na waumini kisha wahimize wakahaiikishe wanaipigia chadema ,hakuna haja ya kuona wivu kwa mwamposaKada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Akina mama, hasa wenye uwezo mdogo wa kufikiri, ni wafuasi wakubwa wa tapeli Mwamposa. Juzi mama mmoja kachukua Tsh 200,000 aliyopewa na mumewe kama pesa ya matumizi kaipeleka yote kwa Mwamposa kutoa sadaka ya kujimaliza.Na akina mama huku mtaani huwaambia kitu kuhusu Mwamposa mpaka wapigwe na kitu kizito ndio wanashtuka