Itakuwa jambo jema sana ile misukule ya mzee mbowe ikatoka kapaKatika hili namuunga mkono huyu tapeli wa injili Mwamposa. Cha muhimu CCM izoe kura hata za misukule ya Mwamposa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa jambo jema sana ile misukule ya mzee mbowe ikatoka kapaKatika hili namuunga mkono huyu tapeli wa injili Mwamposa. Cha muhimu CCM izoe kura hata za misukule ya Mwamposa.
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Mimi toka miaka ile mtu akinambia anasali au anamfatilia mwamposa namuona kaishiwa kabisa na ni mfu anayetembea 😄😄Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Mwamposa anajua anachokifanya.Kafanya kosa kubwa sana huyu Nabii, kura ni siri ya mtu na wala sio agizo kutoka kwa mtu mwingine.... Askofu ameharibu kila kitu, asipoangalia ataligawa hata kanisa lake.
Inawezekana wanashirikiana katika utekaji na kuwapoteza watu. Hawa watu ni majitu ya ajabu sana. Ukiona askofu yeyote anashirikiana na CCM ujue wote ni wafuasi wa shetani.Huyu amekuwa raifiki yake mkubwa sana wa Paul makonda, sijui wanna ajenda gani ya siri ?
Bila masikini hakuna tajiri, wacha atumie fursa kwasababu hakuna alie mshikia bunduki kuja hapoHakuna mtu anayezuia utajiri wake mkuu. Lakini kamwe asitumie migongo ya maskini kujitajirisha kwa manufaa yake binafsi kwa misingi ya kishetani.
Na atazipiga sana. Huku wanapigwa na Mwamposa na kule wanapigwa na mafisadi wa CCM. Masikini wa nchi hii hawana pa kupumulia. Tuombe Yesu arudi haraka kuja kuwakomboa.Mwamposa anajua anachokifanya.
Hakuna kanisa litakalogawanyika, ataendelea kupiga hela na kuwa bilionea hadi hapo serikali itakapoona sasa inatosha.
Hana njia njia nyingine zaidi ya kuwapigia magoti CCM ili wamfumbie macho aendelee kupiga hela.
Naam hakuna tatizo kutumia masikini kutajirika, hili neno ulaghai silikubali , kwasababu wangekuwa hawapati msaada wasinge kwenda kwa Mwamposa kila siku wakati hawalazimishwiKwa hiyo wewe unaona ni sawa tu atumie ulaghai kwa masikini ili kujitajirisha mkuu?
Msaada gani wanapata mkuu? Kuwashirikisha watu kwenye maigizo ya shujuda feki ndiyo mafanikio unayoyaona? Ama kweli usilolijua litakusumbua sana.Naam hakuna tatizo kutumia masikini kutajirika, hili neno ulaghai silikubali , kwasababu wangekuwa hawapati msaada wasinge kwenda kwa Mwamposa kila siku wakati hawalazimishwi
sasa kama hawapati msaada wanafata nini ikiwa hakuna anaelazimishwa kwenda kwa Mwamposa? hapa ndio pa kutafakari badala ya kusema kuna ulaghai , mimi nina amini bila shaka wanapata wanachokitaka ndio maana kila siku wanakwendaMsaada gani wanapata mkuu? Kuwashirikisha watu kwenye maigizo ya shujuda feki ndiyo mafanikio unayoyaona? Ama kweli usilolijua litakusumbua sana.
Weka ushahidi.Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Mwanamke si amejimalizaAkina mama, hasa wenye uwezo mdogo wa kufikiri, ni wafuasi wakubwa wa tapeli Mwamposa. Juzi mama mmoja kachukua Tsh 200,000 aliyopewa na mumewe kama pesa ya matumizi kaipeleka yote kwa Mwamposa kutoa sadaka ya kujimaliza.
Mume aliporudi akakuta pesa yote aliyoipata kwa jasho imeenda kwa Mwamposa, alikasirika sana akaanzisha timbwili la kufa mtu. Mpaka muda huu ninapotoa taarifa hii, wanandoa hao tayari wameishagawana mbao.