Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Huyo ni tapeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The best comment so farMtanzania yeyote mwenye pesa ukimuona yuko CCM jua kuwa huyo pesa zake ni za haramu.
CCM ndio njia nzuri ya kuzilinda pesa zako za haramu katika nchi hii
Anaweza kuwa ji tapeli wa dini ila umesahau kuwa mzee mbowe nae ni tapeli kupitia SIASA?Huyo ni tapeli.
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Umesahau matapeli wanatumia siasa kama mzee wetu Mbowe?hilo tapeli achneni nalo. his days are numbered!
JESUS is Lord &Savior
sahatari iliyopo, kama leo anaweza kuwaelekeza anaowaita "watu wangu" kupigia ccm, kesho anaweza kuwaelekeza kupigia mtu wake toka kwenye dini yake, na siku ingine toka kwenye kabila lake. ameongea ujinga mkubwa sana.
Mbowe ni mzee wako? Na huyo mvaa kaniki wenu anatumia nafasi yake kisiasa kushusha bei ya kaniki?Umesahau matapeli wanatumia siasa kama mzee wetu Mbowe?
Mkuu huyu ni tapeli kama matapeli wengine tu na anajua kuwa asipoikumbatia CCM ataumbuliwa utapeli wake. Lakini kuna siku itafika atajua Mungu hadhihakiwi.Palipo na mzoga ndipo hukusanyika tai.... Muda ni hakimu wa yote.
tapeli la kiroho/kiimani ni hatari zaidi, maana linapeleka watu kuzimuniUmesahau matapeli wanatumia siasa kama mzee wetu Mbowe?
Mbowe alikutapeli nini.Anaweza kuwa ji tapeli wa dini ila umesahau kuwa mzee mbowe nae ni tapeli kupitia SIASA?
Ndio mke wake ana asili ya kijijini kwetuMbowe ni mzee wako? Na huyo mvaa kaniki wenu anatumia nafasi yake kisiasa kushusha bei ya kaniki?
Kunja kunja ,ukombozi ni sasa ,huu ndio utapeli wenyewe mkuuMbowe alikutapeli nini.
aliahidi kukuoa, akakutosa?
YESU NI BWANA&MWOKOZI
Sasa mzee Mbowe anaposema ukombozi ni sasa na kunja ngumi unaona ni sawa ?tapeli la kiroho/kiimani ni hatari zaidi, maana linapeleka watu kuzimuni
Kwamba Ccm imekupa mmomonyoko wa ubongo hadi kukosa staha kwa wasio na itikadi za kichoko kama wewe?Ndio mke wake ana asili ya kijijini kwetu
Kakobe alizijaribu harakati, kilichomkuta, MPAKA LEO IMEBAKI "HISTORY"Mtanzania yeyote mwenye pesa ukimuona yuko CCM jua kuwa huyo pesa zake ni za haramu.
CCM ndio njia nzuri ya kuzilinda pesa zako za haramu katika nchi hii