granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
kwani Wamefuzu? maana mm hata siwafuatiliagi hao taifa stars sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kujipelemba, dah umenikumbusha mbali sana.Huku kujipelemba kumezid sasa
Badi sisi wengine tunahamia GuineWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Rais ana ndege we mjinga?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Nlimuheshim sana hadi alipotoa kauli hiiWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Ngoja wafungwe tutawasikia ni maalumu kwa ajili ya nani kufungwa huko nataka nisikie kufungwa huku ni maalumu kwa rais SamiaIla mkifungwa ham dedicate kwa Rais mnamlaumu kocha, mkishinda hata kocha humtaji unamtaja Rais
Ana ndege?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Mzigo wa lawama ataangushiwa samatta au wachezaji wa simba na yangaNgoja lile straika la Guinea liitwalo Guirassy lije liwapige doggy kwanza hapa kwa mkapa alafu tuone sifa atapewa nani.
Hahaha pambio moja km hilo lina thamani kubwa sana wewe tu haujui yaan ukipiga pambio moja km hilo kwenye siku za usone kuna endorsement inakufuata mezaniHivi nini hua k8nawabadili vijana wanao onekana wana akili timamu, pindi tu wanapo ingia kwenye siasa..🤔
Yaani huna najiuliza sana...😶
Aje aongee hivi hivi wakifungwa pia😂Wakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
HawavukiWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426