Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mkuu FA mjinga sana.. j4 nanunua kreti kusheherekea kufungwaMnatuumiza sana mashabiki ambao kwa upande moja tunaiombea mema team yetu ila kwa post kama hizi tunalzimika kumuombea Camara clean sheet.
Inaumiza ila ndio siasa sasa
Na tukifungwa tarehe 19 aseme hivyo hivyo tenaWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Zipo na zinagawana posho kwa kwenda mbereee, guirassyyyyyyyy anaweka chuma cha nne pale,namna gani pale.Vp mwaka huu kamati za hamasa hamna
Ndege ya kuzaa au kununuaRais katoa ndege yake si jambo dogo
Una uhakika ni ndege yake na siyo ya Watanzania wote!!??Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Punguza ujinga rais hana ndege sawa ?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Si jambo dogoPunguza ujinga rais hana ndege sawa ?
Si jambo dogoUna uhakika ni ndege yake na siyo ya Watanzania wote!!??
Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Ndege yake au ya serikali?Rais katoa ndege yake si jambo dogo