Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile ni jini acha kabisa.Ngoja lile straika la Guinea liitwalo Guirassy lije liwapige doggy kwanza hapa kwa mkapa alafu tuone sifa atapewa nani.
FEDHEA YA SIKU YA JUMANNE IJAYO PIA IELEKEZWE KWAKE MAPEMA.Wakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Mwana FA ni Lucas Mwashambwa mwenye cheoWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Na pongezi hizi ni maalumu kwa Rais Dkt.Tumelogwa Tz,Kuna watu hata wakinyaa wanamshukuru Rais kwa kuweza kunya...Woga ukizidi sana unakua upumbavu.
Hahaha hatari yule jamaa wakina Bacca tutawalaumu bure siku hiyoLile ni jini acha kabisa.
Wanaweka siasa kwenye michezo vibaya sana hili linaharibu kabisa falsafa ya michezo kuunganisha watu wote.Hiki ndicho kunanifanya nisiwe sehemu ya mashabiki wa Stars
kwenye timu ya taifa watanzania tumeanza kuonyesha kuwa wamoja ila sasa,kwa uchawa huu lolote baya liwakute jumanne ijayo dhidi ya GineWakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
Dawa wafungwe tu hiyo J4 wakatafute namna nyingine ya kumpa mapambio.Zero brain. Na wakifuzu watamwaga sifa haijawahi onekana Dunia hii.
Iwe hivyo nitakuja fufua huu uzi wa FAFull Time
Tanzania 0 Guinea 5