Mkuu hapo pasomeke pindi wanapojiunga ccm au pindi wanaporambishwa asaliHivi nini hua k8nawabadili vijana wanao onekana wana akili timamu, pindi tu wanapo ingia kwenye siasa..🤔
Yaani huna najiuliza sana...😶
😂 labda kivukoniHawavuki
Kufungwa kwa Taifa Stars kwa bao 0-2 dhidi ya Congo DR ni maalum kwa Rais Dkt. SamiaAje aongee hivi hivi wakifungwa pia😂
Sio ya kwake ni ya nchi yetuRais katoa ndege yake si jambo dogo
Alitoa pesa za mfukoni mwake kuinunua?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Mola aingilie kati kwani nyie walemavu?Tanzania ilipofika sasa tunahitaji.mola.aingilie kati huu ushubwada /uchawa umezidi kipimo
Sifa kuu ya kuwa mwana ccm ni kuwa na upungufu wa akiliUkishakuwa kiongozi wa nchi hii sijui akili zinahamia wapi
Sasa nawaelewa wale ambao huwa wanafurahi Taifa Stars ikifungwa.Wakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426
HahahaNgoja lile straika la Guinea liitwalo Guirassy lije liwapige doggy kwanza hapa kwa mkapa alafu tuone sifa atapewa nani.
si ni ndege ya serikali au alinunua kwa pesa zake na mafuta kaweka na pesa zake?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
NakaziaSifa kuu ya kuwa mwana ccm ni kuwa na upungufu wa akili
Hahaha ni maalumu kwa Rais Dkt.Wasenge hawa tena bora wafungwe tu tena wasifuzu kabisa
Ambayo kainunua kwa pesa zake?Rais katoa ndege yake si jambo dogo
Hahaha hatari kidogo bado Simba na Yanga akiwapandisha Ndege utasikia ushindi huu ni maalumu kwa Rais Dkt.si ni ndege ya serikali au alinunua kwa pesa zake na mafuta kaweka na pesa zake?
*****.. Hiyo J4 TUFUNGWE TU.Wakuu mmesikia huko?
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesema ushindi wa Taifa Stars wa bao 2-0 dhidi ya Ethiopia ni maalum kwa Rais Dkt. Samia
View attachment 3154426