DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
- Thread starter
-
- #141
inahitaji uchawa na kujipendekeza tu basi. Ila wakitaka mtendaji wa mtaa tu wanahitaji Degree na uzoefu wa miaka mitano, ila wizarani hata msukuma anaweza kuwa waziri wa fedhaSystem haiitaji degree yako Wala PhD π π
Education arrogance ndio inayo wapa shida sana wajinga wengi wanasahahu kwamba uongozi na elimu ni vitu viwili tofauti kabisakabla ya uhuru elimu hata wa Darasa la nne ama middle skuli walikuwa viongozi wakubwa tu. nimesema katika baraza hili la mawaziri la sasa
alibebwa akashikilia vizuri. nchi huwezi toboa kama huna refa wala connection mzeeBefore hapo nani alikua refa wake? Nani ni refa wake kuwa N. Waziri? Hii ni chance aliyochukua na imemlipa.
Luck Is What Happens When Preparation Meets Opportunity
Tatzo mkipewa vyeo mnatak kutukuzwa na v8 zenu ni Bora umuajiri asiye na akili lakn mwerevu sio wavimba vichwainahitaji uchawa na kujipendekeza tu basi. Ila wakitaka mtendaji wa mtaa tu wanahitaji Degree na uzoefu wa miaka mitano, ila wizarani hata msukuma anaweza kuwa waziri wa fedha
π π π Nilitaka kulisema hili mweh,mdomo koma, inshort kwa maza hayo mavyeti hayana uzito kwenye kuteua kwake,yani si kigezo kihivyoHahahaha mtoa Mada unachekesha.
Mbona Samia ni Rais na Hana Degree
Warabu wa Pemba hao !!.
Si ajabu mwijaku akawa katibu Mkuu wa wizara hiyo huko mbeleni tusubiri mkeka ujao, utakaorudi na jina la baba levoTatzo mkipewa vyeo mnatak kutukuzwa na v8 zenu ni Bora umuajiri asiye na akili lakn mwerevu sio wavimba vichwa
Si ajabu siku Juma lokole akawepo barazaniπ π π Nilitaka kulisema hili mweh,mdomo koma, inshort kwa maza hayo mavyeti hayana uzito kwenye kuteua kwake,yani si kigezo kihivyo
Si ajabu mwijaku akawa katibu Mkuu wa wizara hiyo huko mbeleni tusubiri mkeka ujao, utakaorudi na jina la baba levo
π π π Baba levo chawa wa mamaSi ajabu mwijaku akawa katibu Mkuu wa wizara hiyo huko mbeleni tusubiri mkeka ujao, utakaorudi na jina la baba levo
Masters kasoma mwaka gani au katungua kama "Dr." TaletaleMwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
alibebwa akashikilia vizuri. nchi huwezi toboa kama huna refa wala connection mzee
Nyerere amewahi kuwa waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje, etc.Kwani nyerere amewahi kuwa waziri ?? Wa JMT .Kwa level ya uwaziri hii ni historia .
Haikuwa serikali ya JMTNyerere amewahi kuwa waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje, etc.
Una hakika?Haikuwa serikali ya JMT
Kama ana Advance Diploma hivi kama sijakosea , all in all jamaa ana kichwa na akili zakeLabda kwa wasio mfahamu ..kifupi FA ni kichwa smart sana tu...labda watafte jingine
JMT ni serikali ya baada ya nchi mbili kuungana kuweka Tanzania ilizaliwa nyerere akiwa rais wa tanganyikaUna hakika?