Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
IFM, DSA na hata CBE walikuwa wanatoa Advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Jenister Mvuka mto
 
Kitendo cha FA kuchaguliwa tu kusoma sekondari Tanga Tech kinatosha kuonyesha akili nyingi alikuwa nazo. Kwa miaka ile aliyosoma ilikuwa sio mchezo mtu kufaulu darasa la 7 kwenda shule kama Tanga Technical. Degree hana ila Advanced Diploma aliyosoma ni sawa na degree technically. Wapo wasomi wengi sana nguli nchi hii ambao walisoma Advanced Diploma wakaenda masters. Wakongwe wengi walisomea IDM Mzumbe na IFM.

Nadhani tutafute kitu kingine cha kumshambulia nacho FA ila sio elimu. Kielimu kamzidi hadi kiongozi mkuu wa upinzani ambaye pia ni mmiliki wa chama.
 
Kitendo cha FA kuchaguliwa tu kusoma sekondari Tanga Tech kinatosha kuonyesha akili nyingi alikuwa nazo. Kwa miaka ile aliyosoma ilikuwa sio mchezo mtu kufaulu darasa la 7 kwenda shule kama Tanga Technical. Degree hana ila Advanced Diploma aliyosoma ni sawa na degree technically. Wapo wasomi wengi sana nguli nchi hii ambao walisoma Advanced Diploma wakaenda masters. Wakongwe wengi walisomea IDM Mzumbe na IFM.

Nadhani tutafute kitu kingine cha kumshambulia nacho FA ila sio elimu. Kielimu kamzidi hadi kiongozi mkuu wa upinzani ambaye pia ni mmiliki wa chama.
Mwana FA ana akili ya Uongozi na sio akili ya vyeti Kam wengi wanavyoamini
 
Awe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.

Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.

Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.

Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?

Bila kumzungumzia mlengwa ambaye inasemekana ana Masters, tuache kudharau elimu. Kuna watoto wanakua and hizi kauli haziwajengi. Kuna nafasi tuzipe heshima yake, mfano uwaziri, ukurugenzi wa taasisi za serikali na hata ubunge, zizingatie kiwango cha elimu.
 
Iko hivi Mwana FA alisoma IFM certificate mwaka mmoja, baadae akapiga miaka miwili ya Advanced diploma palepale IFM maana mfumo wa zamani kabla ya kuanza kutoa degree vyuo kama IFM na Mzumbe walitoa advanced diploma ambayo ilikua equivalent to degree, ile advanced diploma ndio jamaa aliitumia kusomea masters maana alifaulu vizuri sana, kwahiyo mengine ni chuki tu lakini ndio hivo anapanda taratibu na iko siku atakua waziri kamili
 
Masters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.

Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".

Soma historia.

Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Si kweli anayo.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Watu wa kule hao.
 
Back
Top Bottom