Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hilo nafahamu.JMT
JMT ni serikali ya baada ya nchi mbili kuungana kuweka Tanzania ilizaliwa nyerere akiwa rais wa tanganyika
Nimekuuliza, una hakika?
Hujajibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nafahamu.JMT
JMT ni serikali ya baada ya nchi mbili kuungana kuweka Tanzania ilizaliwa nyerere akiwa rais wa tanganyika
Nina uhakika kuwa nyerere hajawahi kuwa waziri wa JMTHilo nafahamu.
Nimekuuliza, una hakika?
Hujajibu.
IFM, DSA na hata CBE walikuwa wanatoa Advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree.Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Unamjua Chediel Mgonja?Nina uhakika
Simjui mkuuUnamjua Chediel Mgonja?
Jenister Mvuka mtoMwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Basi, nishajua kwa nini hatuelewani.Simjui mkuu
Ni kweliNdiyo ujuwe maisha hayana formula
Kingine inategemea una mingo na watu aina gani
Ova
Sasa dalali kwani hiyo masters siyo degree?? 😃😃😃.. kuwa mdadisi basi aliipataje na kwa criteria zipi mpaka akawa na masters usiseme tu kaweka historia 😃😃kwani tumesema kwamba hana uwezo? nimesema ni historia ya aina yake
😅😅😅Naham nchi atapitisha haki zao Au bhs🙊🙊Si ajabu siku Juma lokole akawepo barazani
Mwana FA ana akili ya Uongozi na sio akili ya vyeti Kam wengi wanavyoaminiKitendo cha FA kuchaguliwa tu kusoma sekondari Tanga Tech kinatosha kuonyesha akili nyingi alikuwa nazo. Kwa miaka ile aliyosoma ilikuwa sio mchezo mtu kufaulu darasa la 7 kwenda shule kama Tanga Technical. Degree hana ila Advanced Diploma aliyosoma ni sawa na degree technically. Wapo wasomi wengi sana nguli nchi hii ambao walisoma Advanced Diploma wakaenda masters. Wakongwe wengi walisomea IDM Mzumbe na IFM.
Nadhani tutafute kitu kingine cha kumshambulia nacho FA ila sio elimu. Kielimu kamzidi hadi kiongozi mkuu wa upinzani ambaye pia ni mmiliki wa chama.
Vyeti pia anavyoMwana FA ana akili ya Uongozi na sio akili ya vyeti Kam wengi wanavyoamini
Awe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.
Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.
Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.
Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?
Si kweli anayo.Masters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.
Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".
Soma historia.
Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Watu wa kule hao.Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate