Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Tatizo mmeshakuwa programmed kuwa lazima usome darasa nursery,La 1-7,kidato cha 1-6 degree,masters PhD!

Kuna watu wanafanya mambo ya PhD na ni form 4 failure.

Upumbavu wa mwafrika ni wa kiwango cha juu mno.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Kasoma IFM? Kweli? Akapita bila kudisco? He is better than Havard! Mama kampataje? Tena ni Mzigua? Uuuuuwiiiii!!!ZFZMWCCM
 
"Masters ni digrii"👇👇
Inawezekana kupata digrii ya Masters bila digrii ya bachelor kwa;
1. Kuingia moja kwa moja katika programu ya Masters ukiwa na uzoefu wa kazi na sifa za kitaaluma.
2. Vyuo vingine huchanganya digrii za bachelor na masters katika programu moja.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Huyu Elimu zinafanana na bosi wake.
 
Bila kumzungumzia mlengwa ambaye inasemekana ana Masters, tuache kudharau elimu. Kuna watoto wanakua and hizi kauli haziwajengi. Kuna nafasi tuzipe heshima yake, mfano uwaziri, ukurugenzi wa taasisi za serikali na hata ubunge, zizingatie kiwango cha elimu.
Unamhubiria nani sasa? Kuna sehemu nimeidharau elimu?
 
I
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Ila mheshimiwa kichwa. ..huu muunganiko simchezo. .dipl to masters. ..hua ni 3yrs km sikosei kuna mwaka atakua alipiga brash za first degree. ..ilahongera zake isee. ..IT,insurance then finance hatari sn
 
Kitendo cha FA kuchaguliwa tu kusoma sekondari Tanga Tech kinatosha kuonyesha akili nyingi alikuwa nazo. Kwa miaka ile aliyosoma ilikuwa sio mchezo mtu kufaulu darasa la 7 kwenda shule kama Tanga Technical. Degree hana ila Advanced Diploma aliyosoma ni sawa na degree technically. Wapo wasomi wengi sana nguli nchi hii ambao walisoma Advanced Diploma wakaenda masters. Wakongwe wengi walisomea IDM Mzumbe na IFM.

Nadhani tutafute kitu kingine cha kumshambulia nacho FA ila sio elimu. Kielimu kamzidi hadi kiongozi mkuu wa upinzani ambaye pia ni mmiliki wa chama.
Mbowe anasoma Out Bachelor ya international relations
 
Hujafikia kiwango cha kujibizana nami.

Kwa kazi inayohitajika, nitahitaji unilipe nikurudishe darasani.
Na kwa sasa sina muda wala nishati ya kufundisha historia.

Kukosoa kwa staha ni muhimu kwako, si kwangu, hivyo usinipandikizie staha zako kwangu.

Mimi naweka kipaumbele kwenye kukuambia ukweli kuliko kukustahi kwa fake modesty.

You should learn to appreciate that.
Nimechagua kujifunza kwako .
 
Hivi kwanini mnaiita masters nyie vilaza? Inaitwa Master..haina wingi bali ukitaka kuimilikisha unasema Master's degree.

Sana sana katika shule mbalimbali au nidhamu mbalimbali za kitaaluma huitwa Master's. Yaani inakuwa na hiyo possessive mark basi na si plural form.
 
Iko hivi Mwana FA alisoma IFM certificate mwaka mmoja, baadae akapiga miaka miwili ya Advanced diploma palepale IFM maana mfumo wa zamani kabla ya kuanza kutoa degree vyuo kama IFM na Mzumbe walitoa advanced diploma ambayo ilikua equivalent to degree, ile advanced diploma ndio jamaa aliitumia kusomea masters maana alifaulu vizuri sana, kwahiyo mengine ni chuki tu lakini ndio hivo anapanda taratibu na iko siku atakua waziri kamili

Acha uongo kwa iyo ulikua ukisoma tu certificate unakwenda Advance Diploma ?

Bas elimu ilikua rahis sana ap advance diploma miaka miwil aisee kama hujui kaa tu kimya
 
Back
Top Bottom