Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
hii nayo ni kali ya mwaka.ordinary diploma to master!hivi vyuo navyo vichunguzwe vinatoaje.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Advanced diploma is equivalent to degree(undergraduate)
 
Huyu pamoja na Ay na wasanii kadhaa nadhani ikiwemo ali kiba sijui walisoma chuo fulani cha IT kikijulikana kama Learn IT kiko pale lumumba kabla ya crdb ghorofani 3nzi hizo kikitoa ICDL za mambo ya IT kutoka UK nadhani walsoma kitu inatwa Internationl Diploma na kuna baadhi ya watu waliowahi waliisajili TCU ikawa inasound kama degree.

Kilikuwa na branch Oysterbay hotel area pia watoto wengi wa kipemba na kiarabu wamesoma chuo hichi.

Hichi chuo walisoma wasanii wengi sana wenhine hawakumaliza. Wakati ithibati bado inayumba ya kuthaminisha mitaala.
Hicho chuo kiliwezaje kutoa huduma bila ku comply na requirements za TCU tunawasiwasi na ukweli wako mkuu
 
Huyu pamoja na Ay na wasanii kadhaa nadhani ikiwemo ali kiba sijui walisoma chuo fulani cha IT kikijulikana kama Learn IT kiko pale lumumba kabla ya crdb ghorofani 3nzi hizo kikitoa ICDL za mambo ya IT kutoka UK nadhani walsoma kitu inatwa Internationl Diploma na kuna baadhi ya watu waliowahi waliisajili TCU ikawa inasound kama degree.

Kilikuwa na branch Oysterbay hotel area pia watoto wengi wa kipemba na kiarabu wamesoma chuo hichi.

Hichi chuo walisoma wasanii wengi sana wenhine hawakumaliza. Wakati ithibati bado inayumba ya kuthaminisha mitaala.
inamaana kwa miaka mitatu TCU wamepokea quality assurance fee kwa wanafunzi bila kujiridhisha na mitaala ya chuo husika.
 
Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake

Mkuu kuna jamaa alikuwa anaoywa OMUGHAKA....anaweka tu story watu wanakuja ujinga wao na kuanza kupinga kila kitu ila jamaa anatulia tu na kesho anaendelea na story wala hakati tamaa na ujumbe unakuwa umewafikia.Ww tulia hawa raia wa Tz kuwaweka sawa kiakili wakuelewe wote ni ngumu sana mkuu!!!
 
Masters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.

Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".

Soma historia.

Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Jukwaa hili limejaa watoto miaka hii ya karibuni.
 
Advance diploma ya mzumbe na ifm ni equivalent na degree hivyo unachukua masters bila shida.
 
Saafi sana watu wasikariri degree ndio uwaziri au unaibu wazir
 
CV yake inaonyesha alisoma cert ya IT kisha Dipolma na hii itakuwa ni ordinary Dipl sio advanced kama ambavyo unasema

Back in days ulikuwa ukisoma Diploma, Ukafanya kazi kwa miaka zaidi ya 5 unaweza soma post graduate kwa mwaka mmoja. kisha ukasoma Masters Degree kwa miaka 2.

hii kitu kipo sana. kuna watu wana Diploma tuu hata advance diploma hawana ila wana masters.

Pia huu mfumo wa advance diploma tulikuwa nao kwa miaka mingi and was perfect kwa muda wake. mfumo huu tuliutoa kwenye mtaala wa uingereza

Baadae tukaachana na Advance diploma tukaja kwenye degree ya kwanza

Japo sijui kama FA alipitia Advance diploma, ila Inawezekana akawa hana na yupo eligible kupata masters
 
Kwani
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate

Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Hapo tatizo lipo wapi? Mbona tuna wasomi na watumishi wengi tu waliosomea nchi za Scandinavia na Urusi ambao wana Masters bila bachelor.
 
Mkiambiwa someni muelewe na sio kujaza vyeti mnajitia ufundi
Haya tangu lini Naibu Wazir akawa sehemu ya Baraza la Mawazir/Cabinet? Huyo sio sehemu ya Cabinet, ila hili la Elimu nalo nafikiri ujipe muda ujue maana ya Advanced Diploma na hutashangaa tena.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Coventry University 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom