Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah hatari sana aisee...View attachment 2894296
Anae tajwa kuwa muuwaji anapitia huu uzi bila huruma na ame like comment yangu hii duuhhhhh
Jeuri itakuishaPumzikaaa kwa amani Ndg Tadei
Jumapili Moja ndefu sana kwetu waccm tuliopenda Uhodari wako wa kuandika
Kunaweza kukawa na sababu nyingi lakini sababu moja kubwa ni hii ,Mbona siku hizi watu wanafariki wadogo sana!
Ndani ya miezi miwili hii, nimeshakutana na taarifa za vifo si pungufu ya 10 kwa watu ambao ni 45 kurudi chini...
Kwenye jukwaa hili alipunguza threads. Majukwaa mengine aliongeza posts nyingi. Misimamo yake juu yauwekezaji nchini kama hawakumlisha maneno kwenye mitandao hiyo...yalikuwa yakufikirisha uwanachama wake. Apumzike kwa Amani!Siamini hili, Old Mushi alikuwa Chawa mpaka uteuzi tu, hajawahi kuwa threat Kwa serikali
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele. Ni vijana waliochangia kuchangamsha fikra za Watanzania. Tunamshukuru Mungu kwa nafasi aliyotupa kuwa naye katika mapambano ya fikra. Raha ya milele umpe Ee Bwana. AMINA.MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
MwanaCCM na MwanaJF @Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Mungu nifundishe kunyamaza.
Poleni wote.
Rubani alikosea coordinate labda..huyu si walisema Rais ametoa ndege apelekwe Nairobi kwa matibabu?
..sasa nini kimetokea mpaka amefariki akiwa Muhimbili?
Tujue kuwa dunia siyo salamaMbona unafahamika sasa! Sasa shetwani hapa ni nani zaidi yako mzee? Roho hiyo itakutesa sanaView attachment 2893978
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mnao semaga hivyo kuna siri mnazijuaMungu nifundishe kunyamaza.
Poleni wote.