Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Yeye ndiye aliyemuwekea sumu jamaa?Kwahio tuna Muuaji humu?
Kama ni kweli Gilbert A Massawe jua tofauti kati ya marehemu na wewe ni muda tu..
Anyway Una bichwa kama Bumunda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndiye aliyemuwekea sumu jamaa?Kwahio tuna Muuaji humu?
Kama ni kweli Gilbert A Massawe jua tofauti kati ya marehemu na wewe ni muda tu..
Anyway Una bichwa kama Bumunda.
Amen 🙏CCM kuwaombea RIP ni matumizi mabaya ya dua. Mungu hataniwi.
Nimeweka sawa tu palipofanyika makosaUnamsimanga Marehemu?
Apumzike kwa Amani, haijalishi alikua mwanachama gabi, ahera hakuna CCM wala Chadema mwendo ameumaliza
Nasikia alilambwishwa Poison, Ni yakweli haya.?
Ndiyo yeye.Yeye ndiye aliyemuwekea sumu jamaa?
• Pepo za zuli zilivuma kuwa yupo hospital za jiji lile palipo jengwa Nyumba nyeupe mpya, wanazengo wakazidi kutoa maoni zaidi kwamba anapewa matibabu hafifu sana kulinga na tatizo alilo nalo. Baada ya hapo kimya kilikua kingi sana, kila mwana East hakuelewa kinachoendelea kwenye ardhi hii kuhusu yule jamaa...huyu si walisema Rais ametoa ndege apelekwe Nairobi kwa matibabu?
..sasa nini kimetokea mpaka amefariki akiwa Muhimbili?
Anajua yeye ataishi milele? Naye siku 1 atalala Mauti. Duniani tunapita tu, tuishi kwa unyenyekevu na kusaidia.Ndiyo yeye.
Malizia maana unajua nilichoacha!Hujamalizia.......
Unasikitika nn na ww kesho zamu yakoDaah aisee jamaa kafariki...
....Mbeie Yetu (Ametangulia ), Nyuma yake ( Sisi tupo njani tunafuata ! [emoji120])Dah! Man amedanji. noma sana. Mbele yake nyuma yetu. Amen!