Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kwao si walishatuambia ni kawaida!Nasikia alilambwishwa Poison, Ni yakweli haya.?
Kuwa mtetezi wa ccm tayari huna tofauti na muuajiWahuni tu hao mkuu
Hivi wanadhani kuua ni rahisi
Siamini huyu Shetani Gilbert tupo nae hapa jamvini tunabadilishana nae mawazoKwahio tuna Muuaji humu?
Kama ni kweli Gilbert A Massawe jua tofauti kati ya marehemu na wewe ni muda tu..
Anyway Una bichwa kama Bumunda.
Siamini kama anaweza kufanya hivo japo tetesi huwa haziji from no where, kama ni kweli itajulikana tuSiamini huyu Shetani Gilbert tupo nae hapa jamvini tunabadilishana nae mawazo
Mkuu skuizi uzee unaanzia 35Mbona siku hizi watu wanafariki wadogo sana!
Ndani ya miezi miwili hii, nimeshakutana na taarifa za vifo si pungufu ya 10 kwa watu ambao ni 45 kurudi chini...
Ndani ya CCM mbona jambo la kawaida sana hilo,kamuulize mtu anaitwa Mwakyembe taarifa zao anazo.Nasikia alilambwishwa Poison, Ni yakweli haya.?
Atuambie imekuweje watu wanahisi ni yeye... Atuambie imeanzaje anzajeSiamini kama anaweza kufanya hivo japo tetesi huwa haziji from no where, kama ni kweli itajulikana tu
Pumzika kwa amani comrade🙏🏿MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
Chanzo cha kifo?MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
Upo usemi kuwa hatuachiani maji ya kunywa,sijui unanielewaaa🤔Nasikia alilambwishwa Poison, Ni yakweli haya.?
• Alikiuka Miiko yao, Fisi emuNdani ya CCM mbona jambo la kawaida sana hilo,kamuulize mtu anaitwa Mwakyembe taarifa zao anazo.
And by the way huyu ndiye wakati fulani kulikuwa na uzi wake humu akidhihaki ndugu za waliopotelewa na jamaa zao wa karibu akiwemo Ben Saanane na yule mwandishi wa Kibiti?
Duu, 😳😳, Nyumbani kwao wanataka mtu mnafiki zaidi, ukiwa mkweli, ni R. I. PHilo kwao si walishatuambia ni kawaida!
Naam, niliiskia hii kauli.. Kutoka kwa kwa jirani.Upo usemi kuwa hatuachiani maji ya kunywa,sijui unanielewaaa🤔
ExactlyAtuambie imekuweje watu wanahisi ni yeye... Atuambie imeanzaje anzaje
Kama alivyoooamua Lucas Mwashambwa🤪• Alikiuka Miiko yao, Fisi emu
• Masuala ya siasa, inabidi uwe shetani Kwanza ndo uingie kwenye siasa, tofauti na hapo ⚰️⚰️⚰️⚰️