Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
• 😁😁, hamna kitu pale, jamaa anaonekana mweupe sana.Kama alivyoooamua Lucas Mwashambwa🤪
Jinga sana wewe.Kwani yuko wapi?
Kalambishwa na nani?Nasikia alilambwishwa Poison, Ni yakweli haya.?
R.I.PMwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake
R.I.P Ole MushiMwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Mmmmmgh sidhani kama ni yeye, anyway sikumbuki Ole kufanya Jambo kama hiliNdani ya CCM mbona jambo la kawaida sana hilo,kamuulize mtu anaitwa Mwakyembe taarifa zao anazo.
And by the way huyu ndiye wakati fulani kulikuwa na uzi wake humu akidhihaki ndugu za waliopotelewa na jamaa zao wa karibu akiwemo Ben Saanane na yule mwandishi wa Kibiti?
Unamsimanga Marehemu?Pumzika kwa Amani Ole Mushi. Japo hiyo ile kwa Mchagga niliregemea angetumia Oko
Hujamalizia.......Kila nafsi itaonja mauti ,tutende mema tukiwa bado tupo hai!
Nimeumia sana but Rest easy my brother, Tutaonana baadaeMwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia.
Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Thadei amefariki duniani asubuhi hii katika hospitali ya moyo JKCI, Muhimbili.
Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema peponi na atupe nguvu na faraja.
Zaidi soma Ole Mushi ni mgonjwa sana.
View attachment 2893963View attachment 2893962
Picha: Ole Mushi enzi za uhai wake