Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Kmmk walahi CCM wameu@
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmmk walahi CCM wameu@
Mkuu unakosea kwa kunihusisha na mauaji ya mtu ambae simjui wala hanijui.Sasa kwa nini mumemuua naye hakuwa tishio kwenu? Na mnathibisha kuwa wale wanaokuwa tishio mnawaua.
Huyo huyoMassawe ndio nani au ni huyu Gilbert A Massawe ?
Kauli yako kama ingekuwa mahakamani ingekutia matatani kuwa yeye hakuwa tishio ina maana ambao ni tishio mnawaua.Mkuu unakosea kwa kunihusisha na mauaji ya mtu ambae simjui wala hanijui.
Kwenye siaisa kuna michezo mingi tu michafu na yakikatilia na sio kwa ccm tu ata kwa ivo vyama vyengine vya upinzani.
Hatoboi✅Mkienda mahakamani hiyo tarehe itazingatiwa au haitazingatiwa? mpaka barua inatoka imepitiwa na watu wangapi? maanake walishajua kwa sumu waliompa hatomboi zaidi ya hiyo tarehe
Achana na hilo vuta bangi lenyewe muda wote ni kukurupuka tu likiwa bado na moshi wa bangi kichwani.Hatoboi✅
Unapokosoa jambo jaribu kua makini zaidi.
Wanasema zipo njia mbili ya kushoto kwa jiwe na ya kulia, uwezekana mkubwa alimfuata jiwe.Kwani yuko wapi?
Duh 🙄 ! 😱Ndiye alichukua kandarasi ya kumtoa roho
Inasikitisha na kufikirisha sana kuuana huku imekuwa desturi ya chama hicho. InatishaKama ilitoka jana tarehe 4 basi itakuwa ni typo ila kama walitoa tar 3 inabidi Massawe azidi kubanwa.
Hivi Kolimba ilikuwaje vile?Uhuni wa mtu mmoja wa ccm huwezi kutoa hukumu kwa Chama kizima.
Ikiwa uyo aliemtilia sumu ni masuala yao nje ya ajenda za chama utahukumu vp apo?
Mmmmh !Inasikitisha na kufikirisha sana kuuana huku imekuwa desturi ya chama hicho. Inatisha
Duh 🙄 !Kauli yako kama ingekuwa mahakamani ingekutia matatani kuwa yeye hakuwa tishio ina maana ambao ni tishio mnawaua.
Kutukana watu ovyo kwenye simu from no where ni dallili ya kuwa una ugonjwa wa akili.Let his Soul rest in eternal peace.
Ugonjwa wangu wa Akili unauzidi huu wako hapa chini kwa kujua fika kuwa hujui Kiingereza halafu unajitutumua Kukiandika halafu Unakikisea na Kukichapia?Kutukana watu ovyo kwenye simu from no where ni dallili ya kuwa una ugonjwa wa akili.
Kutukana watu ovyo kwenye simu from no where ni dallili ya kuwa una ugonjwa wa akili.
Mbona kama alikuwa wa mzena huyuuu?? Kama wa mzena watakuwa wachukua kijana waoMwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia. Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
View attachment 2893887
Hiyo Ole nadhani aliiweka kama kionjo,kwenye majina kamili ya kwao hasa kwa Mzee wake pale Uru Kitandu Chombo hakuna jina la Ole.Pumzika kwa Amani Ole Mushi. Japo hiyo Ole kwa Mchagga nilitegemea ungetumia Oko
Nyumbani kwao ni Moshi Vijijini Uru Kitandu opposite na shule ya Msingi Chombo,kutoka Moshi Mjini mpaka kwao ni mwendo wa 7km. Misa ya Ibada ndio imemalizika muda huu hapa Muhimbili Hospital,marehemu na ndugu wa karibu watapanda Ndege, kuna usafiri bure wa kwenda na kurudi kwa majirani,ndugu na marafiki. Mazishi ni kesho tarehe 7 february saa nane mchana nyumbani kwao Uru Kitandu.Nyumbanib Kwa mpendwa wetu ni wapi na mazishi ni wapi na tarehe ngapi?
Wenzetu tunataka kufika pia kutoa pole Kwa ndugu na jamaa.
Mwenye kupajua tafadhali.