Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

Boya wewe kunywa mwenyewe tafuta na Malaya hapo ukamlombe ,hakuna mtu boya kutoka Jf akakufuata kwa hizi cent zako za MATAGA
 
Naruhusiwa kuja na shost zangu?
Au utakimbia utuachie bill?
 
Naruhusiwa kuja na shost zangu?
Au utakimbia utuachie bill?
Nimeshasema nipo vizuri nikimbie nini, mkuu. Kila unapo agiza nalipa kabisa ili usiwe na mashaka
 
Ooh ahsante Sana..Sasa Kama natokea kimanzichana natakiwa kuchukua gari za wapi kufika hapo?
Mkuu sijui ndugu yangu.ila nachojua ni eneo maarufu kwa hapa Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…