Pre GE2025 Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna siku utakumbukwa Poti...
Teh teh.
 
Paskali Minyama ( Eagle ) kiaja wa Makumbuso .
Propaganda Operative Officer katika Cover ya Investigative Journalist nyuma ya Pazia no Tisiem.
 
Huo ulikuwa uchaguzi ama uharamia?.
Huu ujinga wa kupiga kura sitakuja kuufanya katu kwa sasa
Kuna haja gani ya kufanya uchaguzi kama kutimiza wajibu ilihali mshindi na mporaji wa haki ya wapiga kura tena kwa bao la mkono anajulikana?
Vijana wa sasa tumejiandaa kwa NEW WORLD ORDER, mara mia tukajua tunatawaliwa na shetani moja kwa moja kuliko shetani aliyejificha kwenye vazi la kondoo...
 
Ni ngumu kumwelewa Pascal kwenye huu Uzi..nawashauri members msome kwa umakini,neno hadi neno,mstari hadi mstari..
Kuna baadhi ya maneno ameyaandika kwa codes zilizo wazi kabisa ambazo hata mtu mwenye uelewa wa kawaida kabisa anayeishi huko Kalambanzite anaweza akamuelewa.
Sijaona mahali ambapo Pascal Mayalla ameusapoti huu ushindi wa Revolutionary Party.
 

P,

70% ya wagombea hawana wakupinga, wizi wa kura kila mahali hakuna cha kushangaa. Mama samia ndiyo katushangaza sana kwa kuwa mwongo na muigizaji badala ya kuwa kiongozi. Huu uchaguzi ni pengo lingine kwa nchi yetu na mwaka kesho itakuwa ngumu sana kwa utaratibu huu kuwashawishi wapiga kura
 


Your browser is not able to display this video.
 
Inahitaji akili ya taahira kujisifu kwa ushindi hadaa kama huu. Upigane na mtu ambaye amefungwa mikono halafu ufurahie huo ni ujuha.
 
Sikutegemea kama na wewe huna akili nilikuwa nakuheshimu sana kwa michango yako humu ndani kuanzia nimekuzarau
 
Sema ccm mmeiba kura kila kata, ccm ni mijizi sana mlaaniwe. Eti tumeshinda shame on u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…