Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Mwakani ni mwendo wa Fomu moja tu ya Urais kwa ajili yakeObviously yes
Hakuna Rais ambae hakubariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani ni mwendo wa Fomu moja tu ya Urais kwa ajili yakeObviously yes
Hakuna Rais ambae hakubariki
Polisi watangazeNiambie ni mwana siasa Yupi zaidi ya Rais Samia mwenye uwezo wa kuvuta watu kiasi hicho? Ni nani huyo? Mtaje hapa.
Hv hakuna vyama vingine vya kujadili?Chadema inawatisha et.Hakuna , chadema kimegeuka kuwa chama cha uhalifu
USSR
Demokrasia ndani ya ccm uongo?Mwakani ni mwendo wa Fomu moja tu ya Urais kwa ajili yake
CHADEMA imebakia jina tu.ndio maana uliona kwenye maandamano akijitokeza Mbowe na mwanae wakike tu.Polisi watangaze
Hv hakuna vyama vingine vya kujadili?Chadema inawatisha et.
Hapo kuna wafanyakazi, wanafunz wa shule zote machawa ambao wamesafirishwa kwa lazima. Wafanyakazi na wanafunzi wamesafirshwa kwa lazima tu.Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wana CCM ndio tumeamua hivyo ili kukata kiu ya mamilioni ya watanzania wanaohitaji utumishi wa Mama yetu.Demokrasia ndani ya ccm uongo?
Embu nenda na wewe kaandae mkutano upate watu wengi kiasi hicho.Hapo kuna wafanyakazi, wanafunz wa shule zote machawa ambao wamesafirishwa kwa lazima. Wafanyakazi na wanafunzi wamesafirshwa kwa lazima tu.
Chawa mwenye gundu.Embu nenda na wewe kaandae mkutano upate watu wengi kiasi hicho.
Gundu ya nini tenaChawa mwenye gundu.
Niambie ni mwana siasa Yupi zaidi ya Rais Samia mwenye uwezo wa kuvuta watu kiasi hicho? Ni nani huyo? Mtaje
Polisi waache kuingilia vyama vingine vya siasa waachane na kupelekwa pelekwa na njaa zao. Halafu wenye vijimshshara vya laki 3 ndo wanaoshika virungu kuwapiga watanzania wenzao. Wenye vyeo na vitambi wanaagiza tu, wapigwe huku wanakula keki ya taifa. Tunaumizana wenyewe kwa wenyewe. Mtu akianza kampeni kabla ya muda haujui kuwa anapata faida? Siyo mjinga huyo. Wew piga makofi sambaza mikono yako tu.CCM ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.ndio bima ya watanzania kwa kila tatizo kero.ndio maana inaaminika sana kwa watanzania
Kipindi Cha uchaguzi 2015 kampeni za lowassa ulikua haujazaliwa??!Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi wewe Luca,huwa unakumbuka hata kwenda kufua vivazi vyako mtoni kweli?Kila muda unawaza mambo yasiyokupa hata debe la manumbu wala mbalagha!Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwashambwa matusi yangekuwa yanaruhusiwa ningekutukana. Haiwezi kumsifia mtu kwenye taifa hili hata wewe ungekuwa rais tungejaa. Ni yupi ambaye watu hawajawahi kujaa labda membe. Kwa Slaa hawakujaa? Kwa Lowasa hawakujaa? Kwa Mrema hawakujaa? Mpaka gari kusukumwa? Kwa Magufuli hawakujaa? Watanganyika kwa ujinga wetu wa kukosa elimu na umasikini pamoja na ujinga wako. Ni bendera fuata upepo. Haiwezekani kauli za Mwenyekiti vijana Ngara, Nape Nauye, Anna Tibaijuka, Mkuu wa wilaya wa wapi sijui, tabia za polisi kejeli nyingi tu za wanasiasa wa ccm bado watanganyika hatujitambui.Gundu ya nini tena
Kwa sasa kila chama kipo huru na uhuru umetolewa kufanya mikutano ya siasa.Sema vyama kama CHADEMA inaonekana vinakabiliwa na ukata mkubwa sana wa pesa.Polisi waache kuingilia vyama vingine vya siasa waachane na kupelekwa pelekwa na njaa zao. Halafu wenye vijimshshara vya laki 3 ndo wanaoshika virungu kuwapiga watanzania wenzao. Wenye vyeo na vitambi wanaagiza tu, wapigwe huku wanakula keki ya taifa. Tunaumizana wenyewe kwa wenyewe. Mtu akianza kampeni kabla ya muda haujui kuwa anapata faida? Siyo mjinga huyo. Wew piga makofi sambaza mikono yako tu.
Sema wewe ndiye hujitambui .lakini watanzania wanajitambua na wanatambua kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia na serikali yakeMwashambwa matusi yangekuwa yanaruhusiwa ningekutukana. Haiwezi kumsifia mtu kwenye taifa hili hata wewe ungekuwa rais tungejaa. Ni yupi ambaye watu hawajawahi kujaa labda membe. Kwa Slaa hawakujaa? Kwa Lowasa hawakujaa? Kwa Mrema hawakujaa? Mpaka gari kusukumwa? Kwa Magufuli hawakujaa? Watanganyika kwa ujinga wetu wa kukosa elimu na umasikini pamoja na ujinga wako. Ni bendera fuata upepo. Haiwezekani kauli za Mwenyekiti vijana Ngara, Nape Nauye, Anna Tibaijuka, Mkuu wa wilaya wa wapi sijui, tabia za polisi kejeli nyingi tu za wanasiasa wa ccm bado watanganyika hatujitambui.
Mama ataongoza Taifa hili mpaka aseme anaomba apumzike na kubakia mshauri tuTunasubiri mseme tunabadilisha katiba ili atawale hadi afe - tunazijua tabia za chawa!!
Kwa upande wangu, si kipimo sahihi kulinganisha umati wa Rais na wa mwanasiasa mwingine asiye Rais kwa sababu mbalimbali.Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni Zaidi ya Upendo ndugu zanguni Watanzania.Haijawahi kutokea hapa Nchini pengine hata ndani ya Bara zima la Afrika kwa Mwanasiasa kupendwa ,kukubalika,kuungwa mkono,kusikilizwa ,kufuatwa ,kubeba na kukusanya watu Wengi kiasi hiki Utafikiri watu wanavutwa kwa sumaku kutoka majumbani Mwao.
Embu niambieni ni Mwanasiasa yupi hapa Nchini kwenye uwezo na ushawishi wa kuwaleta pamoja watu kumsikiliza yeye kwa wingi kiasi hicho? Nani mwenye uwezo huu? Nani mwenye ubavu,nani mwenye nguvu za aina hiyo? Nani anapendwa Nchi hii kumzidi huyu Mama mwenye moyo wa upendo, ukarimu, uzalendo,unyenyekevu na upole?
Nani anaweza kuwafanya watu wengi kiasi hiki wakaacha shughuli zao kwa ajili ya kwenda kumsikiliza yeye tu? Zaidi ya Rais Samia ni Nani mwingine anaweza wafanya watu wakimbie mbio kuwahi nafasi viwanjani na kufurika mpaka kukosa nafasi ya kupita sisiminzii ili tu wamsikilize?
Rais Samia kwa hakika siyo mtu wa kawaida ,ni mtu na nusu ,ni nyota kwelikweli,ni nuru popote pawapo na giza.ni tumaini popote pawapo na kukata tamaa. Ni vipi unaweza mzuia Mama huyu kugombea Urais? Ni vipi unaweza mshinda mama huyu kushinda kwa kishindo? Utamzuia kupitia nini? Kwa njia ipi? Kwa sera zipi? Kwa kigezo kipi unaweza mzuia Mama huyu Chaguo la Mungu kurejea ikulu kwa awamu ya pili hapo Mwakani? Ni vipi unaweza kata jina la huyu Mama kwenye Urais ndani ya CCM? Nani atakuelewa? Nani atakukubalia na kunyamaza? Huoni itasababisha machafuko na vurugu Nchini?
Hivi bado hamjatambua ya kuwa huyu Mama ni Chaguo la Mungu Mwenyewe? Hamjatambua bado kuwa kainuliwa na mkono wa Mungu na hata sasa anaongoza Nchi kwa kibali cha Mungu Mwenyewe? Mnataka mpewe ishara gani mpate kuamini?muoneshwe nini na kitu gani na picha zipi mpate kuamini enyi watanzania?View attachment 3109807
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.