Daah...basi alifaulu kunipumbaza. Yaani ule uandishi utafikiri mdada anaongea ayajuayo ya kitaani....hajamalizia na mxiuuu...😂😂Mimi binafsi since day one nilikuwa nafahamu ni ME; na hata kwenye nyuzi zake binfasi za kumuhusu yeye; alisema yeye ni ME. Baadaye wakati ameshaukwaa ufalme wa umbea; akawa anapata attacks nyingi kwamba ni mwanaume gani anapenda umbea hivyo, atakuwa KE tu au shoga; attacks zilipozidi akaona isiwe kesi basi yeye ni she-male; character aliyoenda nayo mpaka mwishoView attachment 1911240
Na bado uzi wake tutajaa tu pamoja na kuchambwa....Haahahhaahaha anamalizia na "mbwa wewe mxieeeew". Daah Warumi
Hahaahha tunajaa kama wote. Lara 1 yupo ila hajawa active kwa mudaNa bado uzi wake tutajaa tu pamoja na kuchambwa....
Just wondering, lola1 naye yu wapi?
Acha tu pale sanduku linapita namuambia binamu tutaonana baadae nakupenda sana...sikutegemea km itakua mapema hivi! Amehuzunisha sana bado kijana mdogo imebaki story,nimekaa mpk gari inaondoka daahh!rest easy warumi wetu!Haahahhaahaha anamalizia na "mbwa wewe mxieeeew". Daah Warumi
Acha tu pale sanduku linapita namuambia binamu tutaonana baadae nakupenda sana...sikutegemea km itakua mapema hivi! Amehuzunisha sana bado kijana mdogo imebaki story,nimekaa mpk gari inaondoka daahh!rest easy warumi wetu!
Dada ake anasema atanichekesha nani Mimi!!kumbe binamu alikua mtu wa watu kuanzia nyumbani kwao!Mungu mpokee
Acha tu pale sanduku linapita namuambia binamu tutaonana baadae nakupenda sana...sikutegemea km itakua mapema hivi! Amehuzunisha sana bado kijana mdogo imebaki story,nimekaa mpk gari inaondoka daahh!rest easy warumi wetu!
Dada ake anasema atanichekesha nani Mimi!!kumbe binamu alikua mtu wa watu kuanzia nyumbani kwao!Mungu mpokee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku alimind akasusa kutoa ubuyu, analalamika anahangaika kupata umbea anaenda hadi mbali kwa garama zake kutafuta umbea analeta halafu tunakuja kumuita muongo, ameenda hadi nyumbani kwa wema kuwachungulia wema na diamond dirishani afu tunamuita muongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyaki wanajua kulia sana...!!uchungu mnooo!kufiwa na mdogo wako namuelewa!Ila dada Amelia jamani mpaka siyo vizuri