MOREMI2006
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 551
- 548
Apumzike panapo mstahiki, bwana ametoa, bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda tumuulize moderator yeye anaweza tupa jibu sahihiNami inanichanganya sana.
Na ndio maana kuna jamaa analia sasa hivi kwamba alifakamia mwenye ngoma! Bora aende tu akapime asijekufa na pressure bure!Watu wanajuana huku na wanakula na poa tuu
Mammy we utakua unajua,huyu jikeshupa yupi sasa wa kibaokata?
Wa Jf sijawai kumskia km yupo.
ŔIP anyway.
Wengi tu humu wanajuana.......ninao marafiki wawili tunafahamiana vizuri wote tupo humu, kwahiyo ni rahisi tu.Nilitaka kuuliza hili swali pia
Anatumia tangu kuzaliwa kwahiyo amezaliwa miaka 17 iliyopita?
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'unNani anisaidie kutoa pole kwa lugha ya kiislamu
Napendaga sana kutumia hilo neno ila kuliandika ndio sijui...
Much love