TANZIA Mwanachuo wa DIT afariki kwa kuanguka kutoka ghorofa ya 10

Umeanza vizuri mpaka nimehuzunika, ila huku mwishoni Mfano wako sasa haha!
Hata msibani katikati ya huzuni tunaweka kautani kidogo, wafiwa wacheke kidogo, maana kifo ni part and parcel of life. Tunakiogopa tu bila sababu za msingi. Jamii zinazofanya sherehe kwenye msiba zipo very realistic. Haijalishi umekufaje.
 
DAH !!! Kama ni mahusiano hiyo ni ujinga. Anyway r.i.p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…