MwanaFA anatufundisha nini?

MwanaFA anatufundisha nini?

Ile ni diss track ya Gadner wala sio FA,
FA aliishi Kijitonyama enzi na enzi leo Jide aulize anaishi wapi!
Labda ulikua bado mdogo,sio kweli,kipindi icho kulikua na bifu Kat ya jide na ruge,na Kati kina sugu na na ruge.jide alikua na show ,na mwana fa alikua atumbuize,ghafla akaamua kua upande wa ruge na yeye akatangaza show yake siku hiyo hiyo ya show ya jide.bifu likaanzia apo.na huo wimbo ukaja kutoka.ule wa ndi ndi ndio ilikua dis kwa gadner
 
"""""""Sina shida na yule binti , nimemkojoza kwa miaka 15........."""""




Afuuu ilikuwa. Ukumbini. Harusi ikiendeleaaa




Mara M.C akakoleza. The song ""The Ndindindi""". Hshahahhhhhh watuuu walicheka. Kama hawana akili nzuri yaaaaaaaaniiiiii.........



Kesho yake kipindi cha. jahazi cha clouds fm , mzee{kibondei} , mshikaji , msela, wauuuuubanii , mshika mapaja wa """The ndindindi""""". Alisikika akiangua kicheko cha mtu mwwnye pesa alieshibaaa akiiiiimbaa the ndindindiiii




Hahahhh i remember that day hatariiiii watuuu woteee tulikuwa tunachekaaa tuuuu. kupitis. Spika za radioo hahahhhhh. The ndindindi





Hoyaaa. Yahaya ni huyu afisa wa benki wa mchongo , haha amakweli vipaji vya mziki ni born in nature hivi huyu mdada kapotelea wapi tena ??
 
Kina GK na ECT nzima walikuwa na akili nyingi nje ya muziki huku wakiona mbali zaidi. Hakukuwa na mjinga kwenye kile kikundi tofauti na vijana wa TMK waliokuwa na usela mavi kama wa machalii wa R... TMK walikuwa na vipaji vya hali ya juu ila nje ya vipaji ilikuwa bangi tupu. Elimu ni muhimu sana haijalishi unafanya nini.. muhimu ni uwe nayo kwanza.
 
Kina GK na ECT nzima walikuwa na akili nyingi nje ya muziki huku wakiona mbali zaidi. Hakukuwa na mjinga kwenye kile kikundi tofauti na vijana wa TMK waliokuwa na usela mavi kama wa machalii wa R... TMK walikuwa na vipaji vya hali ya juu ila nje ya vipaji ilikuwa bangi tupu. Elimu ni muhimu sana haijalishi unafanya nini.. muhimu ni uwe nayo kwanza.
Ma brother men kwa kutafuta sifa,wanaoshinda masaki ,wanalala tandika
 
Tunashukuru kwa status yako, namuona pichani mwana FA akiwa anavuta bangi
 
Back
Top Bottom