zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Alisoma advance diploma,kipindi icho ifm bado walikua hawatoi degree,kwa advance diploma ni sawa tu na degree,ndio maana aliweza kuchukua mastersIFM alisoma Diploma, acha ujuaji wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisoma advance diploma,kipindi icho ifm bado walikua hawatoi degree,kwa advance diploma ni sawa tu na degree,ndio maana aliweza kuchukua mastersIFM alisoma Diploma, acha ujuaji wewe
Mi sijasema mambo ya IFM. Wewe umesema hana digrii, ndio nikataka ufafanuzi... "Masters" sio digrii?Elewa mada kijana, FA hakusoma digrii pale IFM. Umekula maharage ya wapi wewe
Acha ujuaji, alisoma diploma. Hiyo Masters ni ya kuunga unga tu huko nje ya nchiAlisoma advance diploma,kipindi icho ifm bado walikua hawatoi degree,kwa advance diploma ni sawa tu na degree,ndio maana aliweza kuchukua masters
Wewe ndio haujamuelewa,haujui na haujui kama haujuiElewa mada kijana, FA hakusoma digrii pale IFM. Umekula maharage ya wapi wewe
Acha vituko wewe jamaaAcha ujuaji, alisoma diploma. Hiyo Masters ni ya kuunga unga tu huko nje ya nchi
Kwahiyo unaweza kupata Masters bila digrii au equivalent na digrii?Acha ujuaji, alisoma diploma. Hiyo Masters ni ya kuunga unga tu huko nje ya nchi
Marehemu MASABURI alikuwa sahihi, hivi umeshindwa hata kutembelea hapa na kujiona ulivyo fwalaWewe ndio haujamuelewa,haujui na haujui kama haujui
Watoto wa juzi hawajui Advanced Diploma ilikuwa equivalent na degree....Wewe ndio haujamuelewa,haujui na haujui kama haujui
Alafu anajionaa mjanja anabisha kweli,anaona wengine vilaza,uyu dogo bana hahahh,Watoto wa juzi hawajui Advanced Diploma ilikuwa equivalent na degree....
Na hawajui vyuo vilivyokuwa vinatoa Advanced Diploma hivi sasa vinatoa digrii kwa elimu ileile
Wewe zombie unashindwa kujua tofauti ya diploma na advanced diploma?Watoto wa juzi hawajui Advanced Diploma ilikuwa equivalent na degree....
Na hawajui vyuo vilivyokuwa vinatoa Advanced Diploma hivi sasa vinatoa digrii kwa elimu ileile
Najuta kupoteza muda wangu kubishana na shoga.Wewe zombie unashindwa kujua tofauti ya diploma na advanced diploma?
Kwa mfumo wa IFM unaweza kusoma Certificate na kurukia Advanced diploma? Pitia hapa kwenye tovuti ya bunge ujione jinsi ulivyo ndezi Parliament of TanzaniaWatoto wa juzi hawajui Advanced Diploma ilikuwa equivalent na degree....
Na hawajui vyuo vilivyokuwa vinatoa Advanced Diploma hivi sasa vinatoa digrii kwa elimu ileile
Juha wewe,tuulize sisi tulisoma ifm,hakuna diploma ya miaka mitatu,hiyo ni advance diploma ambayo Inna sifa sawa na degree,ndio maana ukiwa na hiyo Ina unaweza soma master ,maana inatambulika Kama degree ya kwanza,angewezaje kupata ya pili Kama ya kwanza Hana?jiongeze mwehu weweMarehemu MASABURI alikuwa sahihi, hivi umeshindwa hata kutembelea hapa na kujiona ulivyo fwala
Parliament of Tanzania
www.parliament.go.tz
Vijana wa mziki mna taabu sana, tangu ushoga uingie huko imekuwa balaaNajuta kupoteza muda wangu kubishana na shoga.
Kwaheri na kila la kheri kwenye kazi yako
Kuna dogo anavuta bangi Ila mtu akiambiwa huyu dogo anavuta bangi atakataa maana hana sura ya bangi, na sio tu kwamba dogo anavuta ilifika hatua alikua anaifurahia bangi hadi akawa supplier wa bangi na connector wa wanaotafuta bangi kwa mapusha, hakuishia hapo dogo alifikia hatua mbaya ya kuanza kujifunza jinsi ya kutengeneza keki za bangi, biscut za bangi, nk ili TU aanze kuendelea na biashara hio nnavyokwambia dogo anamaliza mwaka huu Chuo, aliulizwa suala la Ajira akajibu kimkato Ila ninajua dogo ameingia rasmi kwenye biashara ya kuuza bangiMwana FA hajawahi kuvuta Bangi.
Kuna dogo anavuta bangi Ila mtu akiambiwa huyu dogo anavuta bangi atakataa maana hana sura ya bangi, na sio tu kwamba dogo anavuta ilifika hatua alikua anaifurahia bangi hadi akawa supplier wa bangi na connector wa wanaotafuta bangi kwa mapusha, hakuishia hapo dogo alifikia hatua mbaya ya kuanza kujifunza jinsi ya kutengeneza keki za bangi, biscut za bangi, nk ili TU aanze kuendelea na biashara hio nnavyokwambia dogo anamaliza mwaka huu Chuo, aliulizwa suala la Ajira akajibu kimkato Ila ninajua dogo ameingia rasmi kwenye biashara ya kuuza bangi
Dogo ukimuona humdhanii hata kidogo Ila ni mvuta bangi mmoja hatari,
Huu mwandiko mbona kama wa Adam MchomvuAcha kumchafua Mwana FA.Umeandika alikuwa anavuta bangi?Ndiyo point yako kuu.Andika alikuwa anapata "sakramenti" na wana.Umeelewa?
Wakati nasoma sekondari shule za day kamji ketu kalikuwa kadogo hvyo wanafunz wa shule mbali mbali tulikuwa tunakutana sana kwenye vituo vya tuition hata mitaanKuna dogo anavuta bangi Ila mtu akiambiwa huyu dogo anavuta bangi atakataa maana hana sura ya bangi, na sio tu kwamba dogo anavuta ilifika hatua alikua anaifurahia bangi hadi akawa supplier wa bangi na connector wa wanaotafuta bangi kwa mapusha, hakuishia hapo dogo alifikia hatua mbaya ya kuanza kujifunza jinsi ya kutengeneza keki za bangi, biscut za bangi, nk ili TU aanze kuendelea na biashara hio nnavyokwambia dogo anamaliza mwaka huu Chuo, aliulizwa suala la Ajira akajibu kimkato Ila ninajua dogo ameingia rasmi kwenye biashara ya kuuza bangi
Dogo ukimuona humdhanii hata kidogo Ila ni mvuta bangi mmoja hatari,
Mzizi wa fitna kwenye hili suala ni kwamba aliwezaje kupata advance diploma au degree ikiwa hakusoma certificate Wala diploma.Watoto wa juzi hawajui Advanced Diploma ilikuwa equivalent na degree....
Na hawajui vyuo vilivyokuwa vinatoa Advanced Diploma hivi sasa vinatoa digrii kwa elimu ileile