Sasa Nitakujibu Kitu Ambacho Hata Maana Yake Tu Hujui Mkuu? Yaani UKUBWA Wote Huo Na Hivyo Bichwa Lako Lilivyo KUBWA Kama Jiwe La FATUMA Kutafsiri Tu Na Kuweka Katika Maana NYOOFU Neno Public Relations Officer au Corporate Communication Manager KUNAKUSHINDA Mkuu? Sasa Nitakusaidiaje Unadhani?
Kwangu mimi nakuchukulia kama mwehu, taahira, chizi tu na nilishakupuuza kitambo sana.
atakamatwa tu...kama huyo kaka alikua mwizi kweli kwann ye akimbie??UKWELI NI KWAMBA HUYO JAMAA ANAIIYWA JUSTUS ALIKUA NI MWANAFUNZI WA SAUT ALIMALIZA MWAKA 2013 KWA HIVO NI ALUMNI WA SAUT. TANGU YUPO CHUO ALIKUA ANAPENDA MASWALA YA MODELLLING NA FASHION ALIPOMALIZA CHUO ALIKUA ANASOMEA UALIMU(DUCE) AKAACHA KWENDA KUFUNDISHA AKAJIKITA KWENYE MODELLING ..HAPO HOSTELI ZA RUGAMBWA ALIKUA ANA MWANAMKE WAKE ANAITWA MAGGE ..SASA SIKU YA TUKIO AKAENDA KUMTEMBELE A HOSTEL. DEMU WAKE , DEM AKAENDA KUOGA JAMAA AKACHUKUA SIMU YA MPENZI WAKE AKAANZA KUIPEKUA AKAFUMANIA MESEJI NA PICHA PICHA CHAFU DEMU ALIVOTOKA KUOGA AKAMUULIZA DEM AKAWA MKALI JAMAA KASEMA NAONDOKA NA SIMU KWA UCHUNGUZI ZAIDI DEEMU AKAPANICK AKAANZA KUMUITIA MWIZI JAMAA HAKUAMINI AKAPATA KIWEWE CHA GHAFLA PAMOJA NA KUMSIHI SANA DEM AACHE KUPIGA KELELE WAYAMALIZE DEMU ALIENDELEA KUPIGA KELELE MPKA RAIA WALIVYOJAA NA KUANZA KUMSHUSHIA KIPIGO .HUYO MAGGE NOW KAKIMBIA CHUONI POLISI WANAMSAKA KAMA KUNA MSAMARIA MWEMA ATAKAYEWEZA KUFANIKISHA KUMPATA ANAOMBWA AWASILIANE NA JESHI LA POLIS ILI AWEZE KUFIKISHWA KORTINI.
[HASHTAG]#JUSTICE[/HASHTAG] FOR JUSTUS
Labda urais wa Akudo impact.Hapa Nilipo Tu Namalizia Kuandika DISSERTATION Yangu Ya M.A. Na Kama Mambo Yakienda Vizuri Kati Ya November Mwaka Huu au Mwakani 2017 Nitakuwa Nahitimu Baada Ya Hapo Miaka Mitano Ijayo Kama SITAKUFA Kwa UKIMWI au AJALI au ZIKA Nategemea Kama Si Kumaliza au Kuanza PhD Yangu. Utake Usitake Kuna UWEZEKANO Mkubwa Sana Mwaka 2035 UKANICHAGUA Kuwa Mbunge Wako au Rais Wako Wa Hii Nchi. Hakuna Nchi Nyepesi Kuupata Urais Kama Tanzania Hivyo Kupitia Chama Changu NITAKUTAWALENI Tu. Itunze Hii Post Yangu Na Mwaka 2035 YATATIMIA Haya. Na Cha Kufurahisha Zaidi Degree Yangu Nimeichukulia SAUT, Masters Yangu Naimalizia SAUT Lakini Hata PhD Yangu Nayo Nitaifanyia SAUT. Sijui Una Jingine Tena Labda? Nifah Hawa Watu Huwa Mnawatoa Wapi?
Sawa mkuu na watoto wako wasifike chuo watakuwa makahaba. NB ukahaba ni hulka za mtu na tabia zake, bila kusahau ukahaba hafanyi na mbwa bali na binadamu aitwaye mwanaume.Ukioa mwanafunzi wa chuo,umeoa kahaba,labda vyuo vya ughaibuni
uko sahihi lakini hukusoma vizuri,hata kama imekugusa au ni miongoni mwa waleeee,basi ujue wapo wachache ambao ni watoto wema na katika post yangu ya mwanzo nilisema hivyo!Sawa mkuu na watoto wako wasifike chuo watakuwa makahaba. NB ukahaba ni hulka za mtu na tabia zake, bila kusahau ukahaba hafanyi na mbwa bali na binadamu aitwaye mwanaume.
Aisee nimeiona hii yenye kashfa nzitoo hadi nikawaza wanawake wote waliofika chuo ni Makahabauko sahihi lakini hukusoma vizuri,hata kama imekugusa au ni miongoni mwa waleeee,basi ujue wapo wachache ambao ni watoto wema na katika post yangu ya mwanzo nilisema hivyo!
Huenda ukawa ni miongoni mwa wale wema,ila nahisi uponmiongoni mwa "majority",mipaka nundu.
kwanini usilione neno jingine,na je hujui kuwa kwenye night clubs nyingi ni wanafunzi wa vyuo ambao ndiyo hufanya upapa?,Aisee nimeiona hii yenye kashfa nzitoo hadi nikawaza wanawake wote waliofika chuo ni Makahaba
Kwanini?Niliwahi kusema baada ya ndoa,nasogezs bastola karibu
...lione hili!...'shamba la wapi wewe??kuna mmoja mwanafunzi mmoja wa SAUT nilimpata club jana ,nikamrudisha chuoo baada ya kunywa bia zangu za kutosha leoo nina ahadi ya kumtoa tena out;ila kwa tikio hili roho imesita kidgoo siwezi kwenda tena chuoni kwakoo tutamalizana huku hukuu
Bado unasimamia ukweli wa afisa habariMfuate Ukamuulize Huko Mortuary! Bado Nasimamia UKWELI WA TAARIFA KUTOKA KWA AFISA HABARI WA SAUT KUWA ALIYEFARIKI NI MWIZI NA KWA TAARIFA ZA WATU WA KARIBU KAMA HUYO ALIYEKUPA UKWELI WAKE NI KWAMBA HUYO MAREHEMU ALIKUWA NI MWIZI NA ANAJULIKANA. Sasa AMEPUMZIKA PANAPOSTAHILI. Siwezi KUACHA KUMWAMINI AFISA HABARI WA SAUT MWENYE UKWELI WOTE HALAFU NIKAWAAMINI MAPOPOMA NA WAMBEA MLIOTUKUKA.
Na wasafi ClassicLabda urais wa Akudo impact.