Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
aisee hivi vikojoleo shida sana, sasa huyo naye japokuwa kafa ila ni boya kweli sasa kaibeba simu ili imwambie kuwa sms za nani?, kwani alimkuta bikra huyo binti? tuwivu twingine majanga tu, unakufa kisa sms ya mshikaji sasa hapo ndo kamwachia mshikaji ajibebee mzigo kiulainii.