simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Na hasa hao warembo wa saut ni majanga kwa mji wa mzaWanawake wengine ni wauaji kweli nimeshuhudia matukio km hayo ya wasichana kuwaitia wapenzi wao wezi na wakauwawa kisa wamefumaniwa na vidume vingine
Wewe au Nyie Wote MNAOJIFANYA KUHALALISHA KIFO Mnaitwa " Marginal / Other " Sources AMBAO HAMNA UKWELI WOWOTE MNAOUJUA ZAIDI TU YA UMBEA NA MAJUNGU Isipokuwa AFISA HABARI WENU Ndiyo AUTHORITAVE SOURCE Na SISI TUNAMSIKILIZA Na TUNAMUAMINI KUWA HAKUNA MWANAFUNZI WA SAUT YOYOTE ALIYEFARIKI DUNIA NA BADALA YAKE NI KWAMBA KUNA MWANAUME ( MWIZI ) ALIINGIA KATIKA CHUMBA CHAKE NA KUIBA SIMU NDIPO AKAPIGA MBIU YA KUIBIWA AMBAPO WATU WA HAPO WANANZENGO NA WANAFUNZI WA SAUT WAKAJIUNGA PAMOJA HADI WAKAWAUA.
Bado Maswali Ni Mengi Mno Kuliko Majibu!! Hivi Hao Woote 3 (Kama Iko Hivyo) Walienda Kumfuata Huyo Msichana Kwa Lengo Moja La Kumuibia Hiyo Simu!!!!?? Na Je Walimfahamu Vp Kabla, Au Walienda Kwa Kubahatisha Tu!!! Ndio Maana Hilo Tukio Linahitaji Upelelezi Wa Kipolisi! Maana Kuna Dalili Za Kupindisha Ukweli, Wa Tukio Zima!! Na Hilo Linawezekana Kabisa, Kila Yanapotokea Mauaji Au Kifo, Watu Uwa Wanajaribu KUFICHA UKWELI Wa Matukio!! NADHANI Jeshi La Polisi Kwa Kushirikiana Na Uongozi Wa Chuo, Watawahoji Wale Wooote Waliokaribu Na Wanaoshukiwa, Mwisho Watatoa Majibu!! Kwani Wasichana Wana Mambo Mengi Mno!!Habari hiyo ni uongo. Jamaa ni mwizi na walikuwa watatu. Wawili walifanikiwa kukimbia, huyo mmoja akabaki. Hiyo ni kwa mujib wa maelezo aliyotoa kipindi anahojiwa. Pia alisema kuwa alikuwa ama gf hapo (tofauti na yule anayedai kuibiwa SIMU) swali linakuja, kwa nn alienda kwa mwingine (kuiba SIMU) asiende kwa gf wake?
Kweli. Kesi ina utata sana. Kwa mtu makini anashindwa kung'amua ukweli kwa sababu kila upande una weakness za kupruvu.Bado Maswali Ni Mengi Mno Kuliko Majibu!! Hivi Hao Woote 3 (Kama Iko Hivyo) Walienda Kumfuata Huyo Msichana Kwa Lengo Moja La Kumuibia Hiyo Simu!!!!?? Na Je Walimfahamu Vp Kabla, Au Walienda Kwa Kubahatisha Tu!!! Ndio Maana Hilo Tukio Linahitaji Upelelezi Wa Kipolisi! Maana Kuna Dalili Za Kupindisha Ukweli, Wa Tukio Zima!! Na Hilo Linawezekana Kabisa, Kila Yanapotokea Mauaji Au Kifo, Watu Uwa Wanajaribu KUFICHA UKWELI Wa Matukio!! NADHANI Jeshi La Polisi Kwa Kushirikiana Na Uongozi Wa Chuo, Watawahoji Wale Wooote Waliokaribu Na Wanaoshukiwa, Mwisho Watatoa Majibu!! Kwani Wasichana Wana Mambo Mengi Mno!!
Uzinifu?halafu RIP
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.
View attachment 325868
!Kama hawadisco ndiyo maana wanawaza mapenzi tuuSamahani mi kiukwel SAUT nichuo ambacho sijawi kukielewa nipo mwanza mwaka kikazi lakini sijawai kutamani kifika saut chuo hakina KUDISCO
RIPR.I.P, POLENI WAFIWA.
MWANAMKE NI KIUMBE KATILI SANA BASI TU.
Siku ya kufa ikifika lazima kuwe na kijisababu chochote kitakachosababisha mauti yako...kamwe hakuna kifo kinachokosa sababuHuyu Jamaa ni Fala na amekufa kizembe...
Alikuwa anataka kuondoka na simu ya huyo demu ili iweje???... Demu mwenyewe labda wamekuta kichuo chuo anataka kumdhibiti kama mke wa ndoa!.
Huu ni upumbavu!.....
.
!
Wallah mimi ningemtafuta mshana-jr tumfanyie mambo huyo binti mwenye roho mbayaaa kihivo simu kitu gani bwana tena usikute simu yenyewe tecno ya elfu sabiniYani ingekuwa ndo ndugu yangu ameuawa coz huyo malaya, *****..!!! hilo li malaya, nitalitafuta kokote duniani mpk naua