Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Mwanafunzi SAUT auawa kizembe

Sijafahamu Mazingira Ya Chuo Hicho Yalivyo!! Napata Shaka Na Hao Waliomshambulia, Je, Ni Wanajamii Ya Wanachuo Au Raia Wa Kawaida Tu!!?? Kama Ni Wanachuo, Je Hawamfahamu Mwenzao!!??
 
Umesoma Mass com unatutesa ivi.. ungesoma engineering ww tungehama nchi!

Wewe au Nyie Wote MNAOJIFANYA KUHALALISHA KIFO Mnaitwa " Marginal / Other " Sources AMBAO HAMNA UKWELI WOWOTE MNAOUJUA ZAIDI TU YA UMBEA NA MAJUNGU Isipokuwa AFISA HABARI WENU Ndiyo AUTHORITAVE SOURCE Na SISI TUNAMSIKILIZA Na TUNAMUAMINI KUWA HAKUNA MWANAFUNZI WA SAUT YOYOTE ALIYEFARIKI DUNIA NA BADALA YAKE NI KWAMBA KUNA MWANAUME ( MWIZI ) ALIINGIA KATIKA CHUMBA CHAKE NA KUIBA SIMU NDIPO AKAPIGA MBIU YA KUIBIWA AMBAPO WATU WA HAPO WANANZENGO NA WANAFUNZI WA SAUT WAKAJIUNGA PAMOJA HADI WAKAWAUA.
 
Habari hiyo ni uongo. Jamaa ni mwizi na walikuwa watatu. Wawili walifanikiwa kukimbia, huyo mmoja akabaki. Hiyo ni kwa mujib wa maelezo aliyotoa kipindi anahojiwa. Pia alisema kuwa alikuwa ama gf hapo (tofauti na yule anayedai kuibiwa SIMU) swali linakuja, kwa nn alienda kwa mwingine (kuiba SIMU) asiende kwa gf wake?
Bado Maswali Ni Mengi Mno Kuliko Majibu!! Hivi Hao Woote 3 (Kama Iko Hivyo) Walienda Kumfuata Huyo Msichana Kwa Lengo Moja La Kumuibia Hiyo Simu!!!!?? Na Je Walimfahamu Vp Kabla, Au Walienda Kwa Kubahatisha Tu!!! Ndio Maana Hilo Tukio Linahitaji Upelelezi Wa Kipolisi! Maana Kuna Dalili Za Kupindisha Ukweli, Wa Tukio Zima!! Na Hilo Linawezekana Kabisa, Kila Yanapotokea Mauaji Au Kifo, Watu Uwa Wanajaribu KUFICHA UKWELI Wa Matukio!! NADHANI Jeshi La Polisi Kwa Kushirikiana Na Uongozi Wa Chuo, Watawahoji Wale Wooote Waliokaribu Na Wanaoshukiwa, Mwisho Watatoa Majibu!! Kwani Wasichana Wana Mambo Mengi Mno!!
 
Bado Maswali Ni Mengi Mno Kuliko Majibu!! Hivi Hao Woote 3 (Kama Iko Hivyo) Walienda Kumfuata Huyo Msichana Kwa Lengo Moja La Kumuibia Hiyo Simu!!!!?? Na Je Walimfahamu Vp Kabla, Au Walienda Kwa Kubahatisha Tu!!! Ndio Maana Hilo Tukio Linahitaji Upelelezi Wa Kipolisi! Maana Kuna Dalili Za Kupindisha Ukweli, Wa Tukio Zima!! Na Hilo Linawezekana Kabisa, Kila Yanapotokea Mauaji Au Kifo, Watu Uwa Wanajaribu KUFICHA UKWELI Wa Matukio!! NADHANI Jeshi La Polisi Kwa Kushirikiana Na Uongozi Wa Chuo, Watawahoji Wale Wooote Waliokaribu Na Wanaoshukiwa, Mwisho Watatoa Majibu!! Kwani Wasichana Wana Mambo Mengi Mno!!
Kweli. Kesi ina utata sana. Kwa mtu makini anashindwa kung'amua ukweli kwa sababu kila upande una weakness za kupruvu.
Jamaa maziko yake yanafanyika sasa hivi.. So sad. Pia hata kama angekua kaiba kweli......... Anyway. Nadrop hapa coz inachanganya..
 
Uzinifu?halafu RIP

"Usihukumu, nawe hauta hukumiwa"

Pili hili ni tukio la WIZI, jifunze kutofautisha vitu, unaposema hili ni tukio la uzinifu kwa kuwa wengi humu jukwaani wamelivisha kofia hiyo unakosea!! Wakati mwingine haraiki huweza kuongopa!

Mind you: hili ni tukio la WIZI kama lilivyolipotiwa
 
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.

Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI, watu walikuja na kupiga bila kuuliza.

View attachment 325868


R.I.P, POLENI WAFIWA.

MWANAMKE NI KIUMBE KATILI SANA BASI TU.
 
Duuuh
Samahani mi kiukwel SAUT nichuo ambacho sijawi kukielewa nipo mwanza mwaka kikazi lakini sijawai kutamani kifika saut chuo hakina KUDISCO
!Kama hawadisco ndiyo maana wanawaza mapenzi tuu
 
RIP
 

Attachments

  • 1456581461006.jpg
    1456581461006.jpg
    54.9 KB · Views: 31
Hiyo midemu ya hapo SAUTI ni bora hata machagu doa wa Kakola Kahama,imejaa badoo kama solo la Kariakoo. Uki like tu tayari unaanza kuitwa Sweet kabla hajakumbambikia pesa ya nauli eti aje kukutembelea!! Nani kawaambia mimi niko Bugando naumwa!!? Shenzytype
 
tukio la kusikitisha, tupieni na picture ya huyo mdada tumuona Wenda kuna wengine kawaacha kwao wanamsubiria
 
Inaonekana hicho Chuo ndio zao hao mabinti,mwaka 2015 January 1 walimuua mtoto wa mwenye nyumba wangu kwa style hiyo hiyo,nawachukia Sana,mabint wanaogeuza miili Yao mitaji hasa vyuoni.
 
Huyu Jamaa ni Fala na amekufa kizembe...


Alikuwa anataka kuondoka na simu ya huyo demu ili iweje???... Demu mwenyewe labda wamekuta kichuo chuo anataka kumdhibiti kama mke wa ndoa!.


Huu ni upumbavu!.....


.
!
Siku ya kufa ikifika lazima kuwe na kijisababu chochote kitakachosababisha mauti yako...kamwe hakuna kifo kinachokosa sababu
 
Back
Top Bottom