TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

Gharama za kuwatunza ndio ishu, mwenyewe napenda[emoji848]
 
Alikuwa anapaki kwake. Miaka yote gari analaza nyumbani. Na kuna geti.

Ila wezi wa magari ni proffesional sana aisee.. anakwambia akusikia geti likifunguliwa wala hakusikia mngurumo wa gari.
Hamna huyu alipuliziwa dawa ndo maana hakusikia kitu[emoji848]
 
"Mwili huo uliokotwa ukiwa bila nguo huku ukiwa umetobolewa sehemu mbalimbali kwa kitu chenye ncha kali, na ukiwa na viashiria pia vya kufanyiwa vitendo vya ukatili".


Kumbe kutobolewa tobolewa mwili siyo kitendo cha ukatili!!?
 
Acha tuu.. Gari imeibiwa usiku Mwenyewe anasema ameamka saa 9 kuchungulia dirishani ipo.. Ile analala tena kuamka asubuhi saa 1 akadhani anaota..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sista mmoja mwanajeshi nae walimpiga hivyohivyo, kaamka saa kumi IST ipo kuamka asubuhi kaenda kuoga kajipodoa kala gwanda ile atoke nje kweupe, mbona alirukwa wazimu, akaanza kusema "ilikuwa hapahapa jamani×11"
 
Kama simu wamezipata maana yake aliyewasiliana nae mara ya mwsho hausiki wauaji wameacha makusudi ili jumba bovu limuangukie wa mwaho kumcheki
 
Kuna sista mmoja mwanajeshi nae walimpiga hivyohivyo, kaamka saa kumi IST ipo kuamka asubuhi kaenda kuoga kajipodoa kala gwanda ile atoke nje kweupe, mbona alirukwa wazimu, akaanza kusema "ilikuwa hapahapa jamani×11"
Ebwanaeeh mnanitisha mjue[emoji848][emoji848]

Maeneo gani hayo
 
Unaweza kuta unajilaumu Sana kwanini moyo ulisita kutoka lakini ukajilazimisha kea kuwasikiliza wenzio . Very sad na itawasumbua Sana wenzie hata Kama hawakuhusika.

Maskini mtoto wa watu kauliwa akiwa mdogo kabisa. Angetulia bwenini hawa maharamia wasingempata.
 
Kuna sista mmoja mwanajeshi nae walimpiga hivyohivyo, kaamka saa kumi IST ipo kuamka asubuhi kaenda kuoga kajipodoa kala gwanda ile atoke nje kweupe, mbona alirukwa wazimu, akaanza kusema "ilikuwa hapahapa jamani×11"
Mwenyewe ningechanganyikiwa..
 
HALAFU UTASIKIA RAIS ATAWASAMEHE KUNYONGWA NA MAJITU YATAFURAHIA YAKIKENUA MIMENO YAO..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…