Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo huyu au?
Kaitukana vip mzee? Sijasikia tusi hapo! Au kwakuwa kamtilea mfano Magufuli wengine kawabwaga?
Sema wauza nchiAnatukanwa hadi Rais wa nchi yenye uchumi mkubwa huko duniani, hawa MAKABWELA omba omba ni nani wasipewe vidonge vyao? Ndugu fanya kazi zako achana na uchawa
HaswaaaAnatukanwa hadi Rais wa nchi yenye uchumi mkubwa huko duniani, hawa MAKABWELA omba omba ni nani wasipewe vidonge vyao? Ndugu fanya kazi zako achana na uchawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanafunzi kuitukana serikali ni haki ya kikatiba na ya kibinadamu.
Cha ajabu kipi hapo?
we unaumwa, shida we ni mtoto wa single mother, ndiyo madhara yakeAnatukanwa hadi Rais wa nchi yenye uchumi mkubwa huko duniani, hawa MAKABWELA omba omba ni nani wasipewe vidonge vyao? Ndugu fanya kazi zako achana na uchawa
Ndiyo huyu au?
vichaa siku hizi ni mashujaa? ukiweza kutukana hata mamako we ni shujaa siyo. mtukane mamako basi, mbwa usiye na hayaSijui ni nani atamlinda mtoto shujaa huyu kwenye nchi ya wapenda kiki?