Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ndiyo huyu au?
Uhuru wa kujieleza japo shida atapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo huyu au?
Ahsante sa sijui mimi wewe na huyo mtoto nani mwenye matusi kati yetu?vichaa siku hizi ni mashujaa? ukiweza kutukana hata mamako we ni shujaa siyo. mtukane mamako basi, mbwa usiye na haya
Tatizo hapo kutolewa mfano Magufuli! Ina maana katika Serikali hii dogo hakuna alimuoma ni mzalendo.Mtoa mada ni mpuuzi sana,na itoshe kusema huyo dogo amekuzidi maarifa sana.
Mbona hamna ubaya wowote wa huyo dogo.
Ndiyo huyu au?
Hii Comment imenifanya niachane na huu Uzi nichukulie kawaida na hauna ishuAnatukanwa hadi Rais wa nchi yenye uchumi mkubwa huko duniani, hawa MAKABWELA omba omba ni nani wasipewe vidonge vyao? Ndugu fanya kazi zako achana na uchawa
Sijaona mahali alipotukana serikali...au nyie matusi ni niniNdiyo huyu au?
Ndiyo huyu au?
Ndiyo chenyewe! Dogo hajaona mzalendo yoyote au ata anaekaribia nusu na uzalendobwa Magufuli kwa Taifa lake.Kama ndio hichi mleta mada ndio takataka kabisa iliyooza... Mpumbavu kabisa...
Shida yao wakitaka atajwe SAMIA kama mfano! Kitendo cha kumtaja mfu tena wa miaka 2 nyuma kimewauma kias wanajiuliza ina maana hajatuona au?Mbona huyu mwanafunzi ameeleza vizuri tu.
Kamtukana nani hapo..mbona hamuomyeshi Hilo tusi!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto kumtukna MTU mzima ni Sawa??
Hujaitendea haki bangi....Sasa hapa Kuna tusi?? Mleta mada kama huumwi basi unavuta bangi.
Wabongo ni wanafki sana, dogo kanyoosha maelezo watu wanaanza kuonea aibu ukweli.Kaitukana vip mzee? Sijasikia tusi hapo! Au kwakuwa kamtilea mfano Magufuli wengine kawabwaga?
Hivi hapo shida mnayoiona nyie ni Nini mbona hamuisemi !?? Mnabaki tu katukana mara atapata shida ...lakini hamsemi NINI KOSA LAKE... kama tusi mliseme Hilo tusi ....Uhuru wa kujieleza japo shida atapata
Samahani Mkuu..naomba nionyeshe TUSI lake .... Kama kusema viongozi sio wazalendo ndio tusi kwenu basi atakuwa amewazidi akili mbali sana huyo Mtoto.... Naomba nisaidie TUSI lake nielewe.Wanasaikolojia hujua kuna foolish age
Yeye anaangukia hapo
Ni kumuacha tu
Ku.mtreat kama adult ni kumuonea
Foolish age ya umri anao wana confidence foolish hujifanya viko mature wakati hamna kitu
Aachwe tu hiyo peke yake ni touture kubwa kakiondoka kwenye foolish.age kakifikia self realisation age Akikumbuka past foolish alifanya aweza kufa kwa pressure au ku paralyse
Aachwe tu