Mwanafunzi wa UDSM akamatwa kwa kusambaza taarifa na Takwimu za uongo za Covid-19 WhatsApp

Time will tell us..Easter njema..Tupumzike nyumbani..wakristo kumbukeni Yesu ni Jibu.
 
Jamani yaweza kuwa typing error alitaka kuandika 23 na wa 4, akaandika 230 siunajua hizi Tecno muda mwingine inabadili maneno yenyewe, unaandika neno "kama" inalibadili linakuwa "koma" hao waliokufa mmoja kazinduka angefanyaje Sasa,
 
Wapi binti kaitisha press conference? Kaka Kangi alisema magroup ya WhatsApp Ni vijiwe sawa na jf Ni kijiwe tu na utani mzaha unaotolewa haina athari, hivi grupu la watoto washule Lina madhara gani kiusalama?
Kutoa taarifa lazima uitishe press conference?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi binti kaitisha press conference? Kaka Kangi alisema magroup ya WhatsApp Ni vijiwe sawa na jf Ni kijiwe tu na utani mzaha unaotolewa haina athari, hivi grupu la watoto washule Lina madhara gani kiusalama?
Watoto wa shule gani?

Kama huyo binti ni wa chuo kikuu utasema ni mtoto huyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia snowden aliyekimbilia russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo; kwa mtazamo wangu. Kwa nini unadhania takwimu za mtu binafsi ndizo za kweli ambapo waziri anayepewa takwimu kutoka pembe zote za nchi takwimu zake ziwe si sahihi? Simple logic.

Hata takwimu za waziri pia zikawa sio sahihi...si waseme tu ukweli ili watu wawe makini zaidi kuliko kuficha inawafanya kutokuwa makini zaidi...wawe wakweli na waache kufichaficha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…