Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Hofu yangu ni kwamba huyu mtekaji baada ya muda atastaafu na kurudi nyumbani wasi wasi wangu ni kuwa zoezi la utekaji ataendelea nalo je akikosa mtu wa kumteka si anaweza kumteka hadi mkewe.
 
Polisi wanajua vizuri utaratibu wa kisheria wa kumkamata mtu ama kwa mahojiano au kwa mashitaka! Kwa nini hawakuutumia huo? Mazoea uleta tabia ambayo uzaa utamaduni.
 
Huyo mhudumu wa mtandao husika, kibarua kimeota nyasi!
...btw ishajulikana ni kwa nini wanaforce watumishi wa umma watumie tiitisielo!
 

Hata hivyo pamoja na Kushtushwa Kwako hivi ila kaa ukijua ya kwamba hata ukiwa katika Mafunzo ya Uandishi huu wa Habari za Kiuchunguzi moja ya Jambo ambalo huwa wanasisitiza ni kwamba muda wowote jua ama utakamatwa au utauwawa au utatekwa na Watu au Mamlaka hivyo ni Imani yangu Kubwa hata Erick nae haya yote alikuwa anayajua na hata Waandishi wengi wa Habari za Kiuchunguzi duniani kote wanayajua.
 
kaibukia huku https://www.facebook.com/groups/167321583995506/
 
Lord have mercy n us
 
Unabariki tuwe na taifa la mambumbumbu linalolishwa propaganda badala ya ukweli halisi !!. Tz yangu tumekosea njia wapi ?!. Mbona tumeingia chaka sana ?!.
 
Kuna mtu pale Ikulu alijitapa wazi wazi jinsi walivyomdukua kamanda aliyepigwa risasi,akaja akajisifia alikuwa akisoma mawasiliano ya waziri fulani na mwenzie,kuwa kaamua sasa kuwaweka wuzara moja aone watafanya kazi ama watagombana!!

Akipewa miaka 10 sijui haya yatabeba wigo gani!!
 
Mkuu ni kweli, ila hata kama unajua wakati wowote utatekwa au utauliwa, bado tunaelekea kubaya.
 
Ila hili la TCRA ni hatari. Watanzania hatuko salama tena!
 
Mkuu ni kweli, ila hata kama unajua wakati wowote utatekwa au utauliwa, bado tunaelekea kubaya.

Ukijkita katika aina hiyo ya Uandishi yakupasa kila mara uwe unawaambia wana Familia wako kuwa wakisikia Umekufa wala wasishtuke, wasilie na wasisikitike kwani Moja ya Gharama Kubwa ya huo Uandishi ni Umauti au Mateso makali ambayo yatapelekea Afya yako kuwa mbaya au ukaishia kuwa na Majeraha makubwa na hata Ulemavu hadi Kifo chako.
 

Coward regime has invaded tz
 
Inawezekana kuwa hata kinachojadiliwa hapa hukijui.
 
point yako hapo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…