Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Wacha tuwaulize hao wasiyo julikana watujibu
Nina Iman na Uimara wa majeshi yetu, haiwezekani watu wasiojulikana hawajajulikana mpka leo.
"If you can't defeat them, join them"
Au ndio wamewajoini?
 
Naona huyu Ngurumo anataka kuchukua nafasi ya yule bint aliwatikisa jamaa zetu kupitia instagram hadi akasababisha makamanda kuandamana ila ameufyata baada ya kupigwa mkwara ya kwamba akiendelea na fujo bhas jamaa zetu wangeachia picha za tukio lililomfanya baba yake ajiue....sasa hivi page hata kutembelea inabidi uwe peke yako maana ni vichupi tuu ndivyo anavyo post....
Alishapewa chake huyo.!
 
Tumuombee kwa manani yasimkute makubwa
Nasikia kabla ya kuzingirwa Nyumba yake simu zake zote zilifungwa, baadae alivyopiga simu Vodacom kuuliza akaambiwa ni maagizo toka Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA.

Kabendera alikuwa mwandishi wa habari za uchunguzi kwenye magazeti mbalimbali pamoja na gazeti la Africa Confidential linalochapishwa nchini Uingereza.
 
Ansbert Ngurumo alikuwa ni mmoja wa chanzo cha taarifa za awali kabisa cha kutekwa kwa Leopold Lwajabe (rip). Mimi nillipuzia nikidhani ni zile siasa tulizozizoea.

Nadhani sasa imefika pahala yatupasa tuanze kuzipa uzito hizi tips za huyu jamaa (Ansbert Ngurumo) kwa kweli ili taarifa ziwe zinasambaa mapema wananchi tupone.

=====

Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.

Namba ya gari iliyomchukua imetajwa ni T746DFS.
View attachment 1166543
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.
Alikuwa anaandika habari zipi hizo za uchunguzi ?! Hizi habari tuzizoea kutoka mataifa ya kidikteta, lakini sasa Tz hatuko nyuma nadhani tunaongoza
 
Nadhani ana uhusiano na yule mwandishi aliyetumbukia kwenye ziwa victoria Kabendera Shinani ambao kiasili ni watu wa Rwanda
Hii ni hatari saana.
Pigeni kelele huyo mwandishi Erick Kabendela arudishwe salama.
Hiyo ni PK Rwanda style!!
 
Hivi hao wasiojulikana wanadhani hawatakufa waoze hata wawatese watu hivyo.

Kila jambo lina mwisho wake.
 
IGP kazi imemshinda halafu mambo yakutekana huwa azungumzii kabisa anamwaachiaga ma RPC yeye kama hayamuhusu kabisa.

Hakuna ata siku moja IGP kajitokeza kwenye sakata la mtu kutekwa, si ajabu yupo nyuma ya ivyo vikundi.

Tupate tafsiri gani pale mkuu wa jeshi la polisi anapokuwa na blind-eye kiasi hiki kwenye tatizo sugu la ulinzi ndani ya jamii.
 
Nasikia kabla ya kuzingirwa Nyumba yake simu zake zote zilifungwa, baadae alivyopiga simu Vodacom kuuliza akaambiwa ni maagizo toka Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA.

Kabendera ni mwandishi wa habari za uchunguzi kwenye magazeti mbalimbali pamoja na gazeti la Africa Confidential linalochapishwa nchini Uingereza.
Je, ana uhusiano na yule Kabendera wa zamani aliyezamishwa ziwa victoria miaka ileeee?
 
Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni polisi (hawakuwa na sare wala gari za polisi). Sasa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.
Kumbe ni polisi!uache kihere here cha kupost unconfirmed.news
 
Back
Top Bottom