Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Police gani hawa hawa au wengine?Tuliachie Jeshi la Polisi lifanye kazi
MWANDISHI wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera, amevamiwa na “watu wasiojulikana,” nyumbani kwake Mbweni, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Kabendera, leo jioni watu kadhaa wakiwa na magari, walivamia nyumbani kwake na kuzingira nyumba hiyo na kuzuia mtu yeyote kuingia.
Anasema, kabla ya hapo, simu zake zote zilifungwa; na alipopiga simu Vodacom aliambiwa kuwa hayo ndio maelekezo waliyopewa na Mamlaka ya Mawasiliano ya taifa (TCRA).
Naye mtoa taarifa mmoja ameliambia MwanaHALISI ONLINE, kwamba “…inawezekana wamemchukua tayari; sababu hata simu za ndani ya nyumba hazipokelewi.”
Kabendera ni mmoja wa waandishi wa habari nchini anayeandikia magazeti mbalimbali, likiwamo gazeti la Africa Confidential linalochapishwa Uingereza.View attachment 1166472
Je, ana uhusiano na yule Kabendera wa zamani aliyezamishwa ziwa victoria miaka ileeee?
Kumbe ni polisi!uache kihere here cha kupost unconfirmed.news
kama walifunga simu zake zote alipigaje Voda? kaazi kwelikweli
hahahhaa mkuu nimekuelewaNina Iman na Uimara wa majeshi yetu, haiwezekani watu wasiojulikana hawajajulikana mpka leo.
"If you can't defeat them, join them"
Au ndio wamewajoini?
Wamejitambulishwa baada ya watu kukusanyika, hao ndo baadae wanageka "wasiojulikana"Kumbe ni polisi!uache kihere here cha kupost unconfirmed.news
Itafahamika tu wanaomzunguka hatuwajui wote!
Simu zote zimezimwa!!View attachment 1166560hii nchii inabidi tuzichape kama miaka mitano hivi ndio kila mmoja atamuheshimu mwenzake
Wamevuruga mfumo wa elimu wamewaweza, kwani hawezi kutumia simu isiyo yake kuuliza Voda?Simu zote zimezimwa!!
Alivyopiga cm voda!!
Sawa