Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Kwa mini haya mambo ya watu kutekwa na kuuwawa,yameshamili sana awamu ya bwana huyu.
 
MWANDISHI wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera, amevamiwa na “watu wasiojulikana,” nyumbani kwake Mbweni, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Kabendera, leo jioni watu kadhaa wakiwa na magari, walivamia nyumbani kwake na kuzingira nyumba hiyo na kuzuia mtu yeyote kuingia.
Anasema, kabla ya hapo, simu zake zote zilifungwa; na alipopiga simu Vodacom aliambiwa kuwa hayo ndio maelekezo waliyopewa na Mamlaka ya Mawasiliano ya taifa (TCRA).
Naye mtoa taarifa mmoja ameliambia MwanaHALISI ONLINE, kwamba “…inawezekana wamemchukua tayari; sababu hata simu za ndani ya nyumba hazipokelewi.”
Kabendera ni mmoja wa waandishi wa habari nchini anayeandikia magazeti mbalimbali, likiwamo gazeti la Africa Confidential linalochapishwa Uingereza.View attachment 1166472

Punguani wa mapambio wako wapi?

CCM minions endeleeni kimwabudu Jiwe!
 
kama walifunga simu zake zote alipigaje Voda? kaazi kwelikweli

Mzee mbona unakua kama hujawahi tumia simu za haya mashirika?

Tangu 1992 yapo!

Unatumia namba nyingine unaulizia kwanini namba yako imefungwa!

Na unaenda shop zao zozote na kitambulisho unaulizia kwanini wanakupa sababu!

Easy!
 
Halafu kuna amiri jeshi mkuu aliyeapa kulinda usalama wa raia na Mali zao ,kuna vyombo vya dola vya kumsaidia ,uwt ,polisi jeshi ,magereza ,uhamiaji ,kikosi cha rais .Siyo bure ,halafu amiri jeshi mkuu hajawahi kukemea haya natukio hata maramoja toka yameanza Kwanini?
 
Back
Top Bottom