FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
Vodacom Siyo Mtandao huuView attachment 1166560hii nchii inabidi tuzichape kama miaka mitano hivi ndio kila mmoja atamuheshimu mwenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vodacom Siyo Mtandao huuView attachment 1166560hii nchii inabidi tuzichape kama miaka mitano hivi ndio kila mmoja atamuheshimu mwenzake
Katumia cm ya mtu mwingine kupigaSimu zote zimezimwa!!
Alivyopiga cm voda!!
Sawa
Na ndio waliozima simu zake kupitia TCRACCMkatekwa na CHADEMA huyo
Jiongeze Mkuu... unataka kuamini na kutuaminisha kwamba alipiga simu kwa kutumia simu yake?Simu zote zimezimwa!!
Alivyopiga cm voda!!
Sawa
Dogo upon darasa la ngapi?kama walifunga simu zake zote alipigaje Voda? kaazi kwelikweli
Mkuu hilo swala lipo kwenye sheria zetu kuwa serikali inauwezo wa kuomba mawasiliano yoyote yale ya mwananchi iwe sms ama sauti kama yatahatarisha amani ya nchi.Vodacom Siyo Mtandao huu
Tuliachie Jeshi la Polisi lifanye kazi
Naona umelewa!mtaendelea kutekwa tu. Bado kuvuliwa chupi kama hamtaamka. mumelalala usingizi mzito.
Ahaha imebidi nicheke!Wewe jamaa imenibidi sasa nikusamehe post zako sasa ubaki kuwa mtani wangu wa kiitikadi tu
Duh hii ilishanikuta na kamanda Magonjwa Mtambuka tulikuwa na ligi shh Sahv tushakuwa watani!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jamaa imenibidi sasa nikusamehe post zako sasa ubaki kuwa mtani wangu wa kiitikadi tu
Nilisikia kwamba alizamishwa na jamaa wa jirani yetu mbabe!Hivi yule alizamishwa au alitumbukia kwa bahati mbaya?
HII JAMBO NDILO LINAFANYIKA HAPO RWANDA NA UGANDA, na ukiona sasa imefika hapa kwetu ni wakati sasa kujihami na kupambana na huyu adui wa awamu ya 5,Ansbert Ngurumo alikuwa ni mmoja wa chanzo cha taarifa za awali kabisa cha kutekwa kwa Leopold Lwajabe (rip). Mimi nillipuzia nikidhani ni zile siasa tulizozizoea.
Nadhani sasa imefika pahala yatupasa tuanze kuzipa uzito hizi tips za huyu jamaa (Ansbert Ngurumo) kwa kweli ili taarifa ziwe zinasambaa mapema wananchi tupone.
=====
Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.
Namba ya gari iliyomchukua imetajwa ni T746DFS.
View attachment 1166543
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.
UPDATES:
Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni polisi (hawakuwa na sare wala gari za polisi). Sasa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.
UPDATES:2100HRS
Jeshi la Polisi linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi.