Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Kashepewa umarufu usio wa lazima, we have very weak think tank behind decision makers, hapa nawalaumu TISSS moja kwa moja. Ipo namna nyingine na sio huu upuuzi unaopewa nafasi kwa kasi.

Naomba tu kujua connection ya TISS unaoonekana Kuwalaumu na hii Mada ( Taarifa ) husika tafadhali.
 
Wamevuruga mfumo wa elimu wamewaweza, kwani hawezi kutumia simu isiyo yake kuuliza Voda?
Nilitaka kumtwanga hili swali lakini nikaona ngoja nipite kimya kimya. Asante sana.

Tatizo ni mfumo wa elimu yetu umetunyima uwezo wa kutafakari kwa kina kwenye mambo mbali mbali.
 
Kinachonishangaza ni kua wale jirani zetu wanatumia mfumo kama huo.
Kwa nini kila anayekamatwa munaripoti ni watu wasiojulikana? Kuweni na subira maana naona muda kidogo tunaambiwa yuko polisi. Kwani polisi hawatakiwi kumkamata mtu? Imekuwa ni kukimbizana kuripoti sijui tunamuwahi nani!
 
Kwa nini kila anayekamatwa munaripoti ni watu wasiojulikana? Kuweni na subira maana naona muda kidogo tunaambiwa yuko polisi. Kwani polisi hawatakiwi kumkamata mtu? Imekuwa ni kukimbizana kuripoti sijui tunamuwahi nani!
Polisi wanapokuja kukukamata lazima waje na Warrant unless wewe ni Jambazi. Lazima wawashirikishe viongozi/ mtu wa usalama wa eneo husika. Lazima waoneshe vitambulisho. Haki ya Mawasiliano ni lazima. Maswali ya kujiuliza, kilichofanyika ni ukamataji au utekaji? Ukielewa arrest procedures utakuwa na majibu kuhusu hao "wasiojulikana"!
 
yule binti mbona bado ana post occasionally?
ni vile alikuwa pissed off na ku fail kwa UKUTA lakini si eti alinunuliwa au kutishwa.
hizo ni propaganda za misukule ya wakolomije!

Nimeshangaa sana kuona wakisema kuwa Mange Kimambi sijui amehongwa Pesa ndefu mara sijui ametishiwa kuwa akiendelea na harakati zake basi watavujisha Siri za tukio zima alilofanyiwa Marehemu Baba yake. Hivi kweli kuna Mamlaka ya Kipumbavu hapa duniani ambayo tayari imechafuliwa kwa 99.9% na Mtu ( hapa namaanisha Mange Kimambi ) tena Mkuu wake wa nchi ndiyo akiongoza Kuchafuliwa huku na kule na hadi Siri zake zingine za mambo yake Binafsi Kuanikwa na karibia zimejulikana na Watanzania wengi japo siyo wote halafu eti leo tena hao hao ( Mamlaka ) wapoteze Pesa zao kumpa Mange Kimambi ili atulie. Hivi kama ni kumpa Pesa Logically tu walitakiwa wampe kabla hajaharibu au baada ya kuwa ameshaharibu hivi? Hivi Mtu ambaye ameshakupiga hadi Kukujeruhi kabisa nusura ya hata kutaka Kukuua unaweza tena hapo hapo ukawaomba Ndugu zako ili wajipange na wampe Pesa ili asiendelee Kukushambulia?

Na hii Hoja eti Mange Kimambi sijui ametishiwa kuwa akiendelea na harakati zake basi Video za Kitendo alichofanyiwa Baba yake itawekwa wazi ( Hadharani ) ni ya Kipumbavu sijapata Kuona au Kusikia. Hivi kwa jinsi Mange Kimambi alivyo ( Mtu asiyejali, aliyedata na asiyeogopa huku akiwa ameshajitoa kwa kila Kitu ) leo hii hata akiona Picha ya Baba yake ( namaanisha Video ) imewekwa mnadhani ataguswa nayo kwa lolote au labda ndiyo ataumia au itamuuma?

Acheni Kuficha Ukweli kwa Kuhamisha Goli kuwa Mange Kimambi amehongwa au ametishwa kuhusu Video ya Baba yake bali ukweli ni ule ule ambao tena aliuweka mapema tu kuwa hatojihusisha tena na harakati za Kuwatetea na Kuwapigania Watu ( akimaanisha Watanzania ) ambao ni Waoga na Wanafiki huku akionekana Kuchukizwa na Kitendo cha Watanzania ( hasa wa Kupitia kile Chama cha Upinzani alicho na Mahaba nacho ) kwamba Walimsaliti na alimtupia mno Lawama zake nyingi Mwenyekiti wa hicho Chama na baadhi ya Makada ( Makamanda ) wake Waandamizi.

Binti wa Watu mmemsaliti kwa Unafiki na Uwoga wenu katika ile Kampeni yake Kabambe ya UKUTA leo hii mnaanza Kumlaumu kuwa sijui amehongwa na ametishiwa. Na bahati nzuri ni kwamba Watu ambao leo hii wanamzushia hivi ( hasa hapa JF ) ni wale wale ambao miongoni mwao ile Siku ya UKUTA walijibanza Majumbani mwao huku wakiwa wanaserebuka tu Vitandani na Wake / Waume zao ila hapa nyuma ya Keyboard ndiyo wanajifanya Wababe, Watetezi na Wanaharakati. Unafiki mtupu! Na kama mnasema kuwa amehongwa na ametishiwa mbona bado anaendelea tu Kutoa taarifa Nyeti kadhaa za Kuhusu Mamlaka za nchi hii japo kwa sasa hatoi nyingi?

Jibu sahihi na ambalo yawezekana kwa Uvivu wenu wa Kufikiri ( baadhi yenu ) ni kwamba siyo kwamba huyu Binti amehongwa au ametishiwa bali ni ukweli usiopingika kuwa wale Watu wake waliokuwa wakimpa Classified Information za hasa Executive ama wameshajulikana na wamedhibitiwa vilivyo kwa Maadili ya Kazi zao ( na najua ninaposema Wamedhibitiwa wale Wabobezi wa Masuala ya Kimafia mmeshanielewa vyema tu hapa ) kutokana na Operation Kabambe iliyoendeshwa kwa Msaada wa Wataalam wa IT na Mitandao ambapo wengi wao waliweza Kudakwa na Kujulikana upesi huko hivyo Mange Kimambi hapati tena Taarifa zile Nyeti Kiurahisi kama ilivyokuwa hapo awali na hata hizi anazozipata sasa ni nyepesi na pengine ndiyo maana wengi wenu Siku hizi mnaona kama vile amehongwa au ametishiwa.

Na mnaohoji leo Mange Kimambi kuachana na Harakati zake zile mlizozizoea na kuonekana sasa akijiusisha na Uvaaji wa Vichupi mnashangaza mno. Hivi hamjui kuwa ni zile zile Pesa zenu alizokuwa akiwaombeni na nyingine kwa Kujipendekeza Kwenu Kwake Kumtumia ndiyo hizo hizo Mwenzenu amejiongeza na sasa kaamua Kujikita nazo katika Kujiajiri katika Sekta hiyo nzima aliyopo sasa ya Fashion and Design? Wakati nyie ( Wapumbavu baadhi ) mkimcheka kuwa anaonekana kuonyesha Vichupi vyake Mitandaoni ( hasa katika Kurasa zake za Mitandaoni ) tambueni ya kuwa Mwenzenu hapo hapo pia ndiyo anatengeneza Pesa ambazo wengi wenu hapa Mtandaoni hata mkija Kustaafu Kwenu huko Makazini mlipo bado Viinua Mgongo vyenu havitoweza Kufikia Pesa ambayo Mange Kimambi anatengeza huko sasa. Tena kwa Unafiki wenu hadi Mkamsaliti ile Siku ya UKUTA ni kama vile Watanzania wengi ( Wanafiki ) mmempotezea mno muda wake na huenda asingekuwa anajihusisha na Harakati zake za Kuwapiganieni Kiuwanaharakati na akajikita tu Kupigania Maisha yake na ya Wanae huko Marekani aishipo basi huenda leo hii angekuwa ni Mmoja wa Watanzania Matajiri sana waishio Ughaibuni ( Diaspora )

Haya endeleeni na Uwongo na Uzushi wenu Kumhusu Mange Kimambi ila nilitaka tu nilitolee hili Ufafanuzi kwani linakera mno.
 
Nimeshangaa sana kuona wakisema kuwa Mange Kimambi sijui amehongwa Pesa ndefu mara sijui ametishiwa kuwa akiendelea na harakati zake basi watavujisha Siri za tukio zima alilofanyiwa Marehemu Baba yake. Hivi kweli kuna Mamlaka ya Kipumbavu hapa duniani ambayo tayari imechafuliwa kwa 99.9% na Mtu ( hapa namaanisha Mange Kimambi ) tena Mkuu wake wa nchi ndiyo akiongoza Kuchafuliwa huku na kule na hadi Siri zake zingine za mambo yake Binafsi Kuanikwa na karibia zimejulikana na Watanzania wengi japo siyo wote halafu eti leo tena hao hao ( Mamlaka ) wapoteze Pesa zao kumpa Mange Kimambi ili atulie. Hivi kama ni kumpa Pesa Logically tu walitakiwa wampe kabla hajaharibu au baada ya kuwa ameshaharibu hivi? Hivi Mtu ambaye ameshakupiga hadi Kukujeruhi kabisa nusura ya hata kutaka Kukuua unaweza tena hapo hapo ukawaomba Ndugu zako ili wajipange na wampe Pesa ili asiendelee Kukushambulia?

Na hii Hoja eti Mange Kimambi sijui ametishiwa kuwa akiendelea na harakati zake basi Video za Kitendo alichofanyiwa Baba yake itawekwa wazi ( Hadharani ) ni ya Kipumbavu sijapata Kuona au Kusikia. Hivi kwa jinsi Mange Kimambi alivyo ( Mtu asiyejali, aliyedata na asiyeogopa huku akiwa ameshajitoa kwa kila Kitu ) leo hii hata akiona Picha ya Baba yake ( namaanisha Video ) imewekwa mnadhani ataguswa nayo kwa lolote au labda ndiyo ataumia au itamuuma?

Acheni Kuficha Ukweli kwa Kuhamisha Goli kuwa Mange Kimambi amehongwa au ametishwa kuhusu Video ya Baba yake bali ukweli ni ule ule ambao tena aliuweka mapema tu kuwa hatojihusisha tena na harakati za Kuwatetea na Kuwapigania Watu ( akimaanisha Watanzania ) ambao ni Waoga na Wanafiki huku akionekana Kuchukizwa na Kitendo cha Watanzania ( hasa wa Kupitia kile Chama cha Upinzani alicho na Mahaba nacho ) kwamba Walimsaliti na alimtupia mno Lawama zake nyingi Mwenyekiti wa hicho Chama na baadhi ya Makada ( Makamanda ) wake Waandamizi.

Binti wa Watu mmemsaliti kwa Unafiki na Uwoga wenu katika ile Kampeni yake Kabambe ya UKUTA leo hii mnaanza Kumlaumu kuwa sijui amehongwa na ametishiwa. Na bahati nzuri ni kwamba Watu ambao leo hii wanamzushia hivi ( hasa hapa JF ) ni wale wale ambao miongoni mwao ile Siku ya UKUTA walijibanza Majumbani mwao huku wakiwa wanaserebuka tu Vitandani na Wake / Waume zao ila hapa nyuma ya Keyboard ndiyo wanajifanya Wababe, Watetezi na Wanaharakati. Unafiki mtupu! Na kama mnasema kuwa amehongwa na ametishiwa mbona bado anaendelea tu Kutoa taarifa Nyeti kadhaa za Kuhusu Mamlaka za nchi hii japo kwa sasa hatoi nyingi?

Jibu sahihi na ambalo yawezekana kwa Uvivu wenu wa Kufikiri ( baadhi yenu ) ni kwamba siyo kwamba huyu Binti amehongwa au ametishiwa bali ni ukweli usiopingika kuwa wale Watu wake waliokuwa wakimpa Classified Information za hasa Executive ama wameshajulikana na wamedhibitiwa vilivyo kwa Maadili ya Kazi zao ( na najua ninaposema Wamedhibitiwa wale Wabobezi wa Masuala ya Kimafia mmeshanielewa vyema tu hapa ) kutokana na Operation Kabambe iliyoendeshwa kwa Msaada wa Wataalam wa IT na Mitandao ambapo wengi wao waliweza Kudakwa na Kujulikana upesi huko hivyo Mange Kimambi hapati tena Taarifa zile Nyeti Kiurahisi kama ilivyokuwa hapo awali na hata hizi anazozipata sasa ni nyepesi na pengine ndiyo maana wengi wenu Siku hizi mnaona kama vile amehongwa au ametishiwa.

Na mnaohoji leo Mange Kimambi kuachana na Harakati zake zile mlizozizoea na kuonekana sasa akijiusisha na Uvaaji wa Vichupi mnashangaza mno. Hivi hamjui kuwa ni zile zile Pesa zenu alizokuwa akiwaombeni na nyingine kwa Kujipendekeza Kwenu Kwake Kumtumia ndiyo hizo hizo Mwenzenu amejiongeza na sasa kaamua Kujikita nazo katika Kujiajiri katika Sekta hiyo nzima aliyopo sasa ya Fashion and Design? Wakati nyie ( Wapumbavu baadhi ) mkimcheka kuwa anaonekana kuonyesha Vichupi vyake Mitandaoni ( hasa katika Kurasa zake za Mitandaoni ) tambueni ya kuwa Mwenzenu hapo hapo pia ndiyo anatengeneza Pesa ambazo wengi wenu hapa Mtandaoni hata mkija Kustaafu Kwenu huko Makazini mlipo bado Viinua Mgongo vyenu havitoweza Kufikia Pesa ambayo Mange Kimambi anatengeza huko sasa. Tena kwa Unafiki wenu hadi Mkamsaliti ile Siku ya UKUTA ni kama vile Watanzania wengi ( Wanafiki ) mmempotezea mno muda wake na huenda asingekuwa anajihusisha na Harakati zake za Kuwapiganieni Kiuwanaharakati na akajikita tu Kupigania Maisha yake na ya Wanae huko Marekani aishipo basi huenda leo hii angekuwa ni Mmoja wa Watanzania Matajiri sana waishio Ughaibuni ( Diaspora )

Haya endeleeni na Uwongo na Uzushi wenu Kumhusu Mange Kimambi ila nilitaka tu nilitolee hili Ufafanuzi kwani linakera mno.

Huyo binti baada ya maandamano kufeli alisema hana kinyongo na mtu, na kwamba anaelewa mazingira ya hofu iliyojengwa na polisi akaahidi kwenda kufanya utafiti zaidi ili aje kwa nguvu zaidi na kitaalamu zaidi, akaahidi angerudi august 1. Ilipofika August 1/2018 akaanza kusema hajisikii kuanza habari za siasa, akasema kuwa ngoja kwanza atakapoamua kurudi basi atarudi, mara akaanza kurusha picha za Hamisa Mobetto almost 3 months, mara akageuka akaanza kusema kwa nini watu wanataka yeye tu ndo aposti basi na wao waposti, kisha akaanza kuongea kauli tofauti na ya awali kuwa hana kinyongo akaanza kudai kuwa sasa anaachana na watu kwa sababu ni wanafiki ni vigeugeu hawakuunga mkono maandamano ya 26/4/2018.
Kwa hiyo ndugu yangu, Mimi naheshimu maamuzi ya yule binti tena nampongeza sana kwa ujasiri ule maana kazi aliyoifanya imewashinda wengi waliomo kwenye vyama vya siasa Ila asijifiche kwenye kulaumu watu kwa kutofanikiwa kwa yale maandamano ya awali maana yeye mwenyewe ndiye aliyeahidi kuwa hana nongwa na mtu na pili yeye mwenyewe ndiye aliyeaahidi kurudi tena, sasa kama harudi basi aseme nimeamua kutorudi lakini siyo kwa excuse ya kuwarudishia watu.
 
Ooh hapana nmeuliza maana sijawahi mfuatilia huyo mange hata instagram yenyewe situmii

Ngoja nianze Kutathmini hizi Kauli zako kwamba.....

  • Hapana umeuliza tu
  • Hujawahi Kumfuatilia Mange Kimambi
  • Hutumii hata Istagram

Nikimaliza tathmini yangu nitakujibu Mkuu.
 
Ngoja nianze Kutathmini hizi Kauli zako kwamba.....

  • Hapana umeuliza tu
  • Hujawahi Kumfuatilia Mange Kimambi
  • Hutumii hata Istagram

Nikimaliza tathmini yangu nitakujibu Mkuu.
Eeh mkuu story zake si huwa wanaziongelea humu story za mange kimambi
Na ni mtanzania gani asiyejua kuhusu yale maandamano aliyopanga
 
Huyo binti baada ya maandamano kufeli alisema hana kinyongo na mtu, na kwamba anaelewa mazingira ya hofu iliyojengwa na polisi akaahidi kwenda kufanya utafiti zaidi ili aje kwa nguvu zaidi na kitaalamu zaidi, akaahidi angerudi august 1. Ilipofika August 1/2018 akaanza kusema hajisikii kuanza habari za siasa, akasema kuwa ngoja kwanza atakapoamua kurudi basi atarudi, mara akaanza kurusha picha za Hamisa Mobetto almost 3 months, mara akageuka akaanza kusema kwa nini watu wanataka yeye tu ndo aposti basi na wao waposti, kisha akaanza kuongea kauli tofauti na ya awali kuwa hana kinyongo akaanza kudai kuwa sasa anaachana na watu kwa sababu ni wanafiki ni vigeugeu hawakuunga mkono maandamano ya 26/4/2018.
Kwa hiyo ndugu yangu, Mimi naheshimu maamuzi ya yule binti tena nampongeza sana kwa ujasiri ule maana kazi aliyoifanya imewashinda wengi waliomo kwenye vyama vya siasa Ila asijifiche kwenye kulaumu watu kwa kutofanikiwa kwa yale maandamano ya awali maana yeye mwenyewe ndiye aliyeahidi kuwa hana nongwa na mtu na pili yeye mwenyewe ndiye aliyeaahidi kurudi tena, sasa kama harudi basi aseme nimeamua kutorudi lakini siyo kwa excuse ya kuwarudishia watu.

Na Wewe unaamini kama Wapumbavu wengi wanavyoamini kuwa Mwanadada Mange Kimambi amehongwa na ametishwa?
 
Eeh mkuu story zake si huwa wanaziongelea humu story za mange kimambi
Na ni mtanzania gani asiyejua kuhusu yale maandamano aliyopanga

Sasa mbona Maelezo yako ya sasa yanakinzana na kile ulichokisema hapo awali kuwa huwajahi Kumfuatilia Mange Kimambi? Umekataa nini na sasa hivi unakubali nini tena? Sasa uliwezaji Kuyajua yale Maandamano yake aliyoyapanga halafu sasa hivi unasema tena kuwa Mange Kimambi humfuatilii? Hivi kumbe Mtu ukiwa haupo Instagram bado unashindwa Kuzipata taarifa za Mange Kimambi? Hivi kuna Mtu ambaye aliongoza Kujadiliwa hapa JamiiForums kama Mange Kimambi kabla na hata baada ya ile Kampeni yake ya UKUTA Kufeli kwa Unafiki wa Kiasili wa Watanzania wengi na hasa hasa Sisi watumiaji wa hii Mitandao ya Kijamii ( Wababe wa Nyuma ya Keyboards ) kama tunavyojulikana na tulivyobatizwa rasmi hilo Jina? Nashukuru kwa Kunisaidia niweze Kukutathmini kwa haraka na tayari nimeshajiridhisha kwa hiyo tathmini Kwako.
 
Hivi waandishi wa habari za uchunguzi na wao wanasomea ujasusi au?
Na je kuna kibali chochote katika taaluma ya uandishi wa habari kinachompa mamlaka mwandishi wa habari kuandika habari za uchunguzi?
Kama hakuna,basi uhuru huo uwekwe kisheria ili nao angalau wafanze kazi zao kiweredi zaidi maana wanatumia akili,muda na wakati mwingine risk nyingi katika kutekeleza majukumu yao.
 
Nina Iman na Uimara wa majeshi yetu, haiwezekani watu wasiojulikana hawajajulikana mpka leo.
"If you can't defeat them, join them"
Au ndio wamewajoini?
Majeshi yetu si imara. Yangekuwa imara, wasingeenda watu sita kumkamata mtu mmoja. Hao si watu wasiojulikana. Wangekuwa ndio wenyewe tusingeambiwa anahojiwa na polisi. Kuna uhusiano gani kati ya watu wasiojulikana na polisi? Wasiojulikana ni polisi na waanze kuchukua tahari kwasababu siku si nyingi kutokujulikana kwao kutajulikana.
 
Sasa mbona Maelezo yako ya sasa yanakinzana na kile ulichokisema hapo awali kuwa huwajahi Kumfuatilia Mange Kimambi? Umekataa nini na sasa hivi unakubali nini tena? Sasa uliwezaji Kuyajua yale Maandamano yake aliyoyapanga halafu sasa hivi unasema tena kuwa Mange Kimambi humfuatilii? Hivi kumbe Mtu ukiwa haupo Instagram bado unashindwa Kuzipata taarifa za Mange Kimambi? Hivi kuna Mtu ambaye aliongoza Kujadiliwa hapa JamiiForums kama Mange Kimambi kabla na hata baada ya ile Kampeni yake ya UKUTA Kufeli kwa Unafiki wa Kiasili wa Watanzania wengi na hasa hasa Sisi watumiaji wa hii Mitandao ya Kijamii ( Wababe wa Nyuma ya Keyboards ) kama tunavyojulikana na tulivyobatizwa rasmi hilo Jina? Nashukuru kwa Kunisaidia niweze Kukutathmini kwa haraka na tayari nimeshajiridhisha kwa hiyo tathmini Kwako.
Oooh basi sawa kiongozi
 
Back
Top Bottom