Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

Ansbert Ngurumo alikuwa ni mmoja wa chanzo cha taarifa za awali kabisa cha kutekwa kwa Leopold Lwajabe (rip). Mimi nillipuzia nikidhani ni zile siasa tulizozizoea.

Nadhani sasa imefika pahala yatupasa tuanze kuzipa uzito hizi tips za huyu jamaa (Ansbert Ngurumo) kwa kweli ili taarifa ziwe zinasambaa mapema wananchi tupone.

=====

Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.

Namba ya gari iliyomchukua imetajwa ni T746DFS.
View attachment 1166543
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.

UPDATES:

Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni polisi (hawakuwa na sare wala gari za polisi). Sasa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.

UPDATES:2100HRS

Jeshi la Polisi linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi.

mpaka hapa wasiojulikana wamejulikana,,kama si wananchi na mwenyekiti wao kujitokeza kabla hajabebwa basi tungetangaziwa ametekwa na watu wasiojulikana.
 
Naona huyu Ngurumo anataka kuchukua nafasi ya yule bint aliwatikisa jamaa zetu kupitia instagram hadi akasababisha makamanda kuandamana ila ameufyata baada ya kupigwa mkwara ya kwamba akiendelea na fujo bhas jamaa zetu wangeachia picha za tukio lililomfanya baba yake ajiue pia kwa ustaarabu wa jamaa zetu wakampa US dollars kadhaa kama kiinua mgongo cha kumstaafisha Instagram....sasa hivi page hata kutembelea inabidi uwe peke yako maana ni vichupi tuu ndivyo anavyo post na mala chache huwaponda akina Paulo ambao ana personal conflicts nao.....
Haa kumbe mange walimtuliza [emoji28]
 
Ansbert Ngurumo alikuwa ni mmoja wa chanzo cha taarifa za awali kabisa cha kutekwa kwa Leopold Lwajabe (rip). Mimi nillipuzia nikidhani ni zile siasa tulizozizoea.

Nadhani sasa imefika pahala yatupasa tuanze kuzipa uzito hizi tips za huyu jamaa (Ansbert Ngurumo) kwa kweli ili taarifa ziwe zinasambaa mapema wananchi tupone.

=====

Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.

Namba ya gari iliyomchukua imetajwa ni T746DFS.
View attachment 1166543
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.

UPDATES:

Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni polisi (hawakuwa na sare wala gari za polisi). Sasa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.

UPDATES:2100HRS

Jeshi la Polisi linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi.
Basi mitanzania baadhi ilivyo mijinga, mpaka hapo mtashindwa kutengua swali la wasiojulikana ni kina Nani,, inasikitisha ilipofikia, eti nchi ya amani
 
Naona huyu Ngurumo anataka kuchukua nafasi ya yule bint aliwatikisa jamaa zetu kupitia instagram hadi akasababisha makamanda kuandamana ila ameufyata baada ya kupigwa mkwara ya kwamba akiendelea na fujo bhas jamaa zetu wangeachia picha za tukio lililomfanya baba yake ajiue pia kwa ustaarabu wa jamaa zetu wakampa US dollars kadhaa kama kiinua mgongo cha kumstaafisha Instagram....sasa hivi page hata kutembelea inabidi uwe peke yako maana ni vichupi tuu ndivyo anavyo post na mala chache huwaponda akina Paulo ambao ana personal conflicts nao.....
yule binti mbona bado ana post occasionally?
ni vile alikuwa pissed off na ku fail kwa UKUTA lakini si eti alinunuliwa au kutishwa.
hizo ni propaganda za misukule ya wakolomije!
 
Ansbert Ngurumo alikuwa ni mmoja wa chanzo cha taarifa za awali kabisa cha kutekwa kwa Leopold Lwajabe (rip). Mimi nillipuzia nikidhani ni zile siasa tulizozizoea.

Nadhani sasa imefika pahala yatupasa tuanze kuzipa uzito hizi tips za huyu jamaa (Ansbert Ngurumo) kwa kweli ili taarifa ziwe zinasambaa mapema wananchi tupone.

=====

Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.

Namba ya gari iliyomchukua imetajwa ni T746DFS.
View attachment 1166543
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.

UPDATES:

Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni polisi (hawakuwa na sare wala gari za polisi). Sasa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.

UPDATES:2100HRS

Jeshi la Polisi linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi.
Bila polisi na watu wasiojulikana ccm ni wepesi kuliko pamba
 
Nasikia kabla ya kuzingirwa Nyumba yake simu zake zote zilifungwa, baadae alivyopiga simu Vodacom kuuliza akaambiwa ni maagizo toka Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA.

Kabendera ni mwandishi wa habari za uchunguzi kwenye magazeti mbalimbali pamoja na gazeti la Africa Confidential linalochapishwa nchini Uingereza.
Huyu Kabendera si anatokea kule kwa wakimbizi kama alivyosema Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA
 
Infact huo mchezo utaendelea mpaka litokee jambo litakalowafanya wapay the price ya matendo yao, nje ya hapo watateka waandishi, watateka wafanyabiashara,watateka wanazuoni, watateka viongozi wa dini, wakimaliza hapo watateka wapinzani wao!
Ni kama Shetani hivi aliyeachiwa lose, hawezi kukoma kusumbua mpaka itokee nguvu fulani ya kumdhibiti

Ni wa kuwaonea huruma mbeleni watadakwa wote kama Kuku huwa wanaacha ushahidi pa kuanzia. Huwezi kuta MTU anaejitambua akatumwa kuteka watu,hali ukiingia awamu nyingine mnakamatwa mstakiwe kujibu historia na wa kuwatetea hayupo. Wasiojulikana wa Gambia wamekusanywa wote na Jameh ana msaada kwao yuko nje ya Madaraka sawa na mwanamke tu.
 
Kashepewa umarufu usio wa lazima, we have very weak think tank behind decision makers, hapa nawalaumu TISSS moja kwa moja. Ipo namna nyingine na sio huu upuuzi unaopewa nafasi kwa kasi.
 
Back
Top Bottom