Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Wewe ni mpumbavu sanaa... yule askari naee hana akilii anadhani watu wanaogopa zile jezi za bakabaka oohoo watu washavurugwa na maisha angeweza kuuliwaa kizembe sana anastahili kupewa adhabu kalii sana kudhalilisha nguo za jeshi
Wananchi wema wamemtoa wenge askari mshenzi
 
Hivi ikiwa kila mtu akiamua kujichukulia sheria mkononi sababu ya cheo au pesa.

Tutakuwa taifa la aina gani?
Tafakari.
Askari wachache wasiojielewa ndio wana tabia hizi zinazolichafua jeshi, ni wakati sasa jeshi lijisafishe, lisifiche huu uovu na hatia zichukuliwe na ziwekwe hadharani!
 
Wanajifanya tumesahau hilo. Walikuwa kama dada zao hao hamna lolote.
Bwana mdogo single handledly amewachezea wanaume wa Arusha wakati walikuwa wanatucheka sisi wamaume wa Dar kushindwa kupambana na makundi ya panyaroad ambao wanatembea hata 200 kwa wakati m'moja na bado tumewadhibiti, ila wao sasa nduki ya kasi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nashangaq Sana daladala lote hilo wameshindwa kumshikisha adabu mtu mmoja kweli?¡huyo alikuwa wa kumchakaza haswa wenzie wanafika wanamkuta na adabu yake anayo usoni..
Hapo wameogopa kuingilia ugomvi maana wanaona kama wanaweza kukusanywa kupelekww kambini, hii ndio kasumba iliyopo kwa raia wa tanzania kuamini askari wa JWTZ wanaweza kufanya chochote sababu wapo juu ya sheria jambo ambalo ni batili.
 
Ukiona dalala kasimama kwenye zebra ujue anasubilia abiria hawana ustarabu huo wao
 
Hivi TISS ni nani wale wewe unaishi Nchi gani? Nyuma pale anaesimamia ni nani mjumbe wa nyumba 10?

Usiseme nimekwambia Mimi Ila jua tu analindwa ndio vipi una Jambo lako?
Umepuyanga Rais analindwa na TISS, yule mwanajeshi anayeongozana na Rais ni mpambe wa Rais
 
Mwanajeshi ana umri Gani? Mwanajeshi hupaswi kuwa na mihemko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…