fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
mkuu leo mapema sana niko bsrabaraniUnadeka, tukiwaambia tuandamane mnagoma na kulia Lia , mnazani kulia ndo kutatatua matatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu leo mapema sana niko bsrabaraniUnadeka, tukiwaambia tuandamane mnagoma na kulia Lia , mnazani kulia ndo kutatatua matatizo.
siangaliagi huo utopoloKilichokuliza nini sasa? Itakuwa umezoea kuangalia sinema za kihindi wewe. Pole sana.
Utafikiri wote tunajua kisa cha huyo jeda?naendelea kumtafuta huyo mjeda ( askari wa jwtz ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu kwa sasa nchini tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini
Unakumbuka kisa cha mwanajeshi aliekaua pale Kawe mwaka jana? Basi jitahidi kukwepa ghadhabu na raia! Unaweza ukasagwa alafu muanze kutumia kodi zetu vibaya kwa kukusanya makundi ya wanajeshi wenzenu ili waje wawapigw waliokudunda huku mkitumia magari ya umma.naendelea kumtafuta huyo mjeda ( askari wa jwtz ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu kwa sasa nchini tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini
Unalia Lia kama mtoto wa kike!? JikazeDaah huyu mjeda anahatarisha maisha ya watu aisee haoni kama ataemda kusababisha ajali yaani gari Inatembea unampga dereva hivi😭😭
Nimejikuta nalia aisee inaumiza😭😭
Mkiona gari linatembea au kukimbia msiwe mnawachokoza watu. Usikadirie kiwango cha jazba ya mtu.Wewe mtoa mada kama sio una WAZIMU basi una KICHAA,Gari lilikuwa bado linatembea huku yeye akifanya kitendo cha ukichaa ulitaka wafe abiria na wapita njia🥶🥶🥶
Nimefurahi sana alivyotembeza kichapo hicho mkuu.Utafikiri wote tunajua kisa cha huyo jeda?
Kwa hiyo wewe ukichokozwa na mmoja uko tayari uuwe watu mia 🤨Mkiona gari linatembea au kukimbia msiwe mnawachokoza watu.Usikadirie kiwango cha jazba ya mtu.
Hata kama watanzania tunachukiana ila bado hatujafikia hatua ya kuitana mbwaKwanza wale abiria ilitakuwa waungane wampe kichapo yule MBWA halafu kosa la Dereva au mjeshi lingejulikana mbele mahajanami.
Siwezi kumuita binadamu yule mtu kwa kuwa hana sifa hizo🐒hata kama watanzania tunachukiana ila bado hatujafikia hatua ya kuitana mbwa
shame on you and behave sawa?
Nimefurahi sana afande JWTZ alivyotembeza kichapo hicho ikiwa huyo dereva daladala mpuuziMatumizi ya nguvu yasiyofuata sheria na ubabe havitakiwi kabisa
NI YEYEE 😂 😂 😂 😂 😂 😂Gentamycine unahangaika na ID nyingi sana. Badilika.
We chizi kweli.naendelea kumtafuta huyo mjeda ( askari wa jwtz ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu kwa sasa nchini tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini