TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

Pole sana sana. Ndio safari
 
Poleni nyoote mlioguswa na msiba huu... Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
 
Igawa kuna mkeka mmoja unashawishi sana..kukimbia..kwa safari za mbali ni muhimu sana kua na red bull 4 au 6 ili kuondoa uchovum...
kweli, ule mkeka kuanzia Mpakani pale Hadi igawa umetulia sana halafu bado mpya mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…