TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

My condolence
 
Kamba duh
 
Tatizo la sisi wana jamii forum hatutumii majina yetu OG ndiyo maana hatujuwani
 
Watu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula
Sema mimi sina yoyote anaenijua humu ikitokea ya kutokea inakua kmy tu
 
Pole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
Hii hua unakuta unarafkiako anatumia jf ikiwa naww unatumia jf pia ID mnajuana ikitokea mmoja anatoa taarifa ila kwa upande wangu nipo pekeangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…